Nilijalibu kupima uzoefu

Nilijalibu kupima uzoefu

saidikobelo

Member
Joined
Oct 28, 2018
Posts
75
Reaction score
25
Nasikitika kuona vijana wengi wa karne hii ni shida ukiwaangalia kwenye mitandao wanaonekana wako vizuri ukikutana naye uso kwa uso mkazungumza mawili matatu unagundua ni zilo maana ya mitandao ni mawasiliano kinacho tokea wengi hawajui chochote juu ya mahusiano ya kwenye mtandao nimetoa Mada ya Mchumba nikapokea cm nyingi zaidi ya 14 nikafanya tafiti za kuwajua wanajificha hawataki kuwa wazi wanakimbilia kuomba pesa ndogo ndogo tathimini hii itanisaidia kwenye kazi yangu ya ufundishaji wa study binafsi vijana amkeni mambo mnayoyafanyia mzaha leo kwenye mtandao na kucheza na namba za cm kwenu mnabugi mnafikiri ni muda mzuri lakini mnachelewa wasichana wanalipiza visasi wale waliopachikwa mimba na kutemwa wamehalibika wamekuwa waizi wanaona kila mwanaume nikama boyfriend aliyepita nawapa pole hawa mnaowaibia mambo yao yanasonga mbele ninyi mnahangaika kuiba nini sasa mnafanya jitahidini kubadilika unayemuona kwenye mtandao usimdharau humjui fika kwake kicha uchukue maamuzi acha ujinga elimika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia Paah!

Huwa nawaambia, hata ke akinipa namba ya simu. Haitoshi kumuamini kuwa si tapali. Ataanza kunifaidi pesa yangu hadi tutakapoonana.

Labda niamue tu kutoa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikitika kuona vijana wengi wa karne hii ni shida ukiwaangalia kwenye mitandao wanaonekana wako vizuri ukikutana naye uso kwa uso mkazungumza mawili matatu unagundua ni zilo maana ya mitandao ni mawasiliano kinacho tokea wengi hawajui chochote juu ya mahusiano ya kwenye mtandao nimetoa Mada ya Mchumba nikapokea cm nyingi zaidi ya 14 nikafanya tafiti za kuwajua wanajificha hawataki kuwa wazi wanakimbilia kuomba pesa ndogo ndogo tathimini hii itanisaidia kwenye kazi yangu ya ufundishaji wa study binafsi vijana amkeni mambo mnayoyafanyia mzaha leo kwenye mtandao na kucheza na namba za cm kwenu mnabugi mnafikiri ni muda mzuri lakini mnachelewa wasichana wanalipiza visasi wale waliopachikwa mimba na kutemwa wamehalibika wamekuwa waizi wanaona kila mwanaume nikama boyfriend aliyepita nawapa pole hawa mnaowaibia mambo yao yanasonga mbele ninyi mnahangaika kuiba nini sasa mnafanya jitahidini kubadilika unayemuona kwenye mtandao usimdharau humjui fika kwake kicha uchukue maamuzi acha ujinga elimika

Sent using Jamii Forums mobile app


Kudadadeki, jamaa umeshapigwa tayari hapa.
 
January hii ela ndogo ndogo muda juu yupo bar ndio zinafunguliwa wai fanya haraka ukaone ela ndogo zinavyo nunua larger.
 
Jamani sijapigwa hela ni kweli waliomba baadhi yao lakini namshukuru mungu aliniongoza vizuri na kila aliyeomba pesa nilimjibu kuwa nitakutunzaje haliyakuwa sifahamiki kwenu nikweli hata sasa bado wanasumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom