Nilijiandikisha kupiga kura kwa mara ya kwanza nikiwa kitado cha nne, sioni maajabu yoyote wanafunzi kuandikishwa

Nilijiandikisha kupiga kura kwa mara ya kwanza nikiwa kitado cha nne, sioni maajabu yoyote wanafunzi kuandikishwa

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kumekuwa na malalamiko ya hapa na pale kuwa CCM inaandikisha wanafunzi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa.

Wandugu, as long as hao wanafunzi watakuwa wamefikisha umri wa kupiga kura wakati wa uchaguzi hakuna sheria yoyote iliyovunjwa, ni haki yao kupiga kura.

Mbali na mashuleni, CCM wanafanya kweli, wanapita mtaa kwa mtaa kuhamamasisha wanachama wao kujiandikisha na kwenda kupiga kura siku husika. Hawana muda na mbwembwe za mitandaoni.

CCM wako very serious na uchaguzi wakati wale wenzangu na mie wako bize mitandaoni. Yaani hizi siku mbili tatu ndio kama wameanza kuamka.

Soma Pia: Godbless Lema: Kata ya Igama Walimu wanawaambia Wanafunzi wasio na vigezo wajiandikishe

Sijui CHADEMA mtajifunza lini, hauwezi kupata matokeo makubwa kama maandalizi yako ni hafifu! Mnaenda kupigwa kipigo cha mbwa mwizi uchaguzi huu. Na yote mmejisababishia wenyewe.
 
Kumekuwa na malalamiko ya hapa na pale kuwa CCM inaandikisha wanafunzi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa.

Wandugu, as long as hao wanafunzi watakuwa wamefikisha umri wa kupiga kura wakati wa uchaguzi hakuna sheria yoyote iliyovunjwa, ni haki yao kupiga kura.

Mbali na mashuleni, CCM wanafanya kweli, wanapita mtaa kwa mtaa kuhamamasisha wanachama wao kujiandikisha na kwenda kupiga kura siku husika. Hawana muda na mbwembwe za mitandaoni.

CCM wako very serious na uchaguzi wakati wale wenzangu na mie wako bize mitandaoni. Yaani hizi siku mbili tatu ndio kama wameanza kuamka.
Kweli wewe ni uchwara 🤣🤣🤣🤣
Sijui CDM mtajifunza lini, hauwezi kupata matokeo makubwa kama maandalizi yako ni hafifu! Mnaenda kupigwa kipigo cha mbwa mwizi uchaguzi huu. Na yote mmejisababishia wenyewe.
 
Kumekuwa na malalamiko ya hapa na pale kuwa CCM inaandikisha wanafunzi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa.

Wandugu, as long as hao wanafunzi watakuwa wamefikisha umri wa kupiga kura wakati wa uchaguzi hakuna sheria yoyote iliyovunjwa, ni haki yao kupiga kura.

Mbali na mashuleni, CCM wanafanya kweli, wanapita mtaa kwa mtaa kuhamamasisha wanachama wao kujiandikisha na kwenda kupiga kura siku husika. Hawana muda na mbwembwe za mitandaoni.

CCM wako very serious na uchaguzi wakati wale wenzangu na mie wako bize mitandaoni. Yaani hizi siku mbili tatu ndio kama wameanza kuamka.

Sijui CDM mtajifunza lini, hauwezi kupata matokeo makubwa kama maandalizi yako ni hafifu! Mnaenda kupigwa kipigo cha mbwa mwizi uchaguzi huu. Na yote mmejisababishia wenyewe.
Maajabu yapo wenda wengine wanaandikishwa kabla hawajafikisha umri wa miaka 18.
 
Back
Top Bottom