Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nadhani alikuwa muislam, maana yake kwa wakristo, zaka ya 10% hawapewi masikini, wanatakiwa kupewa wale wa madhabahuni, ndio mshahara wao. kwahiyo hapo alitupa tu pesa zake.Alikuwa Mkristo mzuri nadhani.
Umetoa hadithi tu,Aya aah!!Mzee Dee katika hotuba yake alisema Mkewe alikuwa na tabia ya kuweka 10% ya kipato chake kwa ajili ya kutoa Zaka ikiwemo kuwasaidia Maskini na wanaohitaji kusomeshwa. Aliyasema hayo wakati wa shughuli ya kumuaga mkewe abayo tuliohudhuria tulisikia hayo
Hili ni jambo zuri sana na limezungumzwa sana katika Quran na hadithi za Mtume.
Tunatakiwa kwa pamoja tufanye hivyo. Mimi binafsi nimejifunza kitu kikubwa hapo. napanga kufanya hivyo. wengine tuige
Hadithi kuhusu Sadaka na Kuondoa Dhambi:
Kutoa sadaka ni tendo lenye umuhimu mkubwa katika dini ya Kiislamu, na linafaida nyingi kwa muislamu. Hapa kuna baadhi ya faida za kutoa sadaka:
- Mtume Muhammad (SAW) alisema: "Sadaka inafuta dhambi kama maji yanavyofuta moto." (Tirmidhi)
- Kuongeza Baraka na Riziki: Sadaka inasaidia kuongeza baraka katika maisha ya muislamu na kuimarisha riziki. Ni sehemu ya wema na hukumu ya Allah kwa wale wanaotoa sadaka kwa nia ya dhati.
- Kutakasa Mali: Kutoa sadaka ni njia ya kutakasa mali na kuondoa dhambi zinazoweza kuathiri baraka na mafanikio ya mtu.
- Kuimarisha Mahusiano: Sadaka inaweza kuboresha mahusiano ya kijamii kwa kusaidia wale walioko katika hali ngumu. Inakuza mshikamano na upendo ndani ya jamii.
- Kupata Thawabu: Kutoa sadaka ni moja ya matendo ya kheri yaliyoagizwa na Allah, na muislamu anapata thawabu (malipo ya Allah) kwa kila kiasi anachotoa.
- Kufungua Milango ya Baraka: Sadaka inafungua milango ya baraka na neema kutoka kwa Allah. Ni njia ya kuomba msamaha na kuonesha shukrani kwa yale aliyopewa.
- Kuzuia Dhambi: Kutoa sadaka ni njia ya kuondoa dhambi na kutakasa roho. Inasaidia kupunguza athari za dhambi na kuimarisha imani.
- Kuongeza Utu na Utu Uzuri: Sadaka inasaidia kuimarisha utu na utu uzuri wa muislamu. Ni njia ya kuonyesha huruma na upendo kwa wengine.
Masheikh hawali sadaka,walaji sadaka hao wengine,wamenona Kama nguruwe mzazi,hata kutembea tabuPesa na dhahabu ni mali ya Bwana,Mungu hsitaji kutolewa sadaka,ni bora kusaidia wahitaji kuliko kuwapa masheikh na wachungaji/mapadre
Alikuwa Mkristo safi,Sala kila wakati.Mzee Dee katika hotuba yake alisema Mkewe alikuwa na tabia ya kuweka 10% ya kipato chake kwa ajili ya kutoa Zaka ikiwemo kuwasaidia Maskini na wanaohitaji kusomeshwa. Aliyasema hayo wakati wa shughuli ya kumuaga mkewe abayo tuliohudhuria tulisikia hayo
Hili ni jambo zuri sana na limezungumzwa sana katika Quran na hadithi za Mtume.
Tunatakiwa kwa pamoja tufanye hivyo. Mimi binafsi nimejifunza kitu kikubwa hapo. napanga kufanya hivyo. wengine tuige
Hadithi kuhusu Sadaka na Kuondoa Dhambi:
Kutoa sadaka ni tendo lenye umuhimu mkubwa katika dini ya Kiislamu, na linafaida nyingi kwa muislamu. Hapa kuna baadhi ya faida za kutoa sadaka:
- Mtume Muhammad (SAW) alisema: "Sadaka inafuta dhambi kama maji yanavyofuta moto." (Tirmidhi)
- Kuongeza Baraka na Riziki: Sadaka inasaidia kuongeza baraka katika maisha ya muislamu na kuimarisha riziki. Ni sehemu ya wema na hukumu ya Allah kwa wale wanaotoa sadaka kwa nia ya dhati.
- Kutakasa Mali: Kutoa sadaka ni njia ya kutakasa mali na kuondoa dhambi zinazoweza kuathiri baraka na mafanikio ya mtu.
- Kuimarisha Mahusiano: Sadaka inaweza kuboresha mahusiano ya kijamii kwa kusaidia wale walioko katika hali ngumu. Inakuza mshikamano na upendo ndani ya jamii.
- Kupata Thawabu: Kutoa sadaka ni moja ya matendo ya kheri yaliyoagizwa na Allah, na muislamu anapata thawabu (malipo ya Allah) kwa kila kiasi anachotoa.
- Kufungua Milango ya Baraka: Sadaka inafungua milango ya baraka na neema kutoka kwa Allah. Ni njia ya kuomba msamaha na kuonesha shukrani kwa yale aliyopewa.
- Kuzuia Dhambi: Kutoa sadaka ni njia ya kuondoa dhambi na kutakasa roho. Inasaidia kupunguza athari za dhambi na kuimarisha imani.
- Kuongeza Utu na Utu Uzuri: Sadaka inasaidia kuimarisha utu na utu uzuri wa muislamu. Ni njia ya kuonyesha huruma na upendo kwa wengine.
Kutoa sadaka ni tendo,Tena tendo jema sanaSadaka bila matendo mema ni bure kabisa. Mungu (kwenye dini zote) hahongeki. Ukiwa mtenda mabaya kama kufisadi, kuua, kuteka, kuiba, kuzini nk, hata utoe mabilioni ya dola ni bure. Unatakiwa uache dhambi kwanza ndiyo utoe sadaka.
Sijakataa. Ila nimesema sadaka bila matendo mema ni bure.Kutoa sadaka ni tendo,Tena tendo jema sana
Ujumbe wa manabii ni mmoja,ndiyo maana yule mwamba alisema hakuja kutangua taurati,Mungu ni yuleyule Ila tu ujumbe wake huko nyuma wamba wakautia mikono kuweka yao,ndiyo unakuta Paulo anajisifu kutunga uwongoNilichogundua asilmia kubwa ya mafundishi ama qurani, ni copy and modify ya agano la kale la biblia... anayekubaliana nami agonge like... , zingatia kuwa uislam umekuja miaka mingi baada ya Kristo
Matendo mema yapi wakati sadaka nayo ni tendo jema!?..ulivyo-potray ni sadaka siyo tendo Bali kwenda kubweka kanisani toka asubuhi Hadi jioni ndiyo tendoSijakataa. Ila nimesema sadaka bila matendo mema ni bure.
Matendo mema ya maisha. Usiibe, usiue, usizini. Haya matendo NI LAZIMA yaepukwe, hakuna mjadala. Unaweza usitoe sadaka lakini ukatii haya, na ukapata neema lakini huwezi kutotii na kutoa sadaka halafu ukapata neema.Matendo mema yapi wakati sadaka nayo ni tendo jema!?..ulivyo-potray ni sadaka siyo tendo Bali kwenda kubweka kanisani toka asubuhi Hadi jioni ndiyo tendo
Kutokuzini,kutokuua,kutokuiba siyo matendo,Bali kuiba,kuzini,kuua ndiyo matendo,kutoa zakka,sadaka,kuswali,kusaidia watu,kulima,kula hayo matendoMatendo mema ya maisha. Usiibe, usiue, usizini. Haya matendo NI LAZIMA yaepukwe, hakuna mjadala. Unaweza usitoe sadaka lakini ukatii haya, na ukapata neema lakini huwezi kutotii na kutoa sadaka halafu ukapata neema.
Nyama ya nguruwe ya kurost ni tamuuuuu balaaaaMasheikh hawali sadaka,walaji sadaka hao wengine,wamenona Kama nguruwe mzazi,hata kutembea tabu
Muhamad na allah.... Ha ha ha....Mtume Muhammad (SAW) alisema: "Sadaka inafungua milango ya baraka na neema. Mtu ambaye anatoa sadaka, Allah humbariki na mali zake na hutuliza dhiki zake." (Bukhari na Muslim)
Hakuwa mUislamu na pengine hujaisoma Biblia. Huifahamu.nadhani alikuwa muislam, maana yake kwa wakristo, zaka ya 10% hawapewi masikini, wanatakiwa kupewa wale wa madhabahuni, ndio mshahara wao. kwahiyo hapo alitupa tu pesa zake.
Kuna takataka lililojiondoa kwenye imani ya dini litakuja kuwaponda!Mzee Dee katika hotuba yake alisema Mkewe alikuwa na tabia ya kuweka 10% ya kipato chake kwa ajili ya kutoa Zaka ikiwemo kuwasaidia Maskini na wanaohitaji kusomeshwa. Aliyasema hayo wakati wa shughuli ya kumuaga mkewe abayo tuliohudhuria tulisikia hayo
Hili ni jambo zuri sana na limezungumzwa sana katika Quran na hadithi za Mtume.
Tunatakiwa kwa pamoja tufanye hivyo. Mimi binafsi nimejifunza kitu kikubwa hapo. napanga kufanya hivyo. wengine tuige
Hadithi kuhusu Sadaka na Kuondoa Dhambi:
Kutoa sadaka ni tendo lenye umuhimu mkubwa katika dini ya Kiislamu, na linafaida nyingi kwa muislamu. Hapa kuna baadhi ya faida za kutoa sadaka:
- Mtume Muhammad (SAW) alisema: "Sadaka inafuta dhambi kama maji yanavyofuta moto." (Tirmidhi)
- Kuongeza Baraka na Riziki: Sadaka inasaidia kuongeza baraka katika maisha ya muislamu na kuimarisha riziki. Ni sehemu ya wema na hukumu ya Allah kwa wale wanaotoa sadaka kwa nia ya dhati.
- Kutakasa Mali: Kutoa sadaka ni njia ya kutakasa mali na kuondoa dhambi zinazoweza kuathiri baraka na mafanikio ya mtu.
- Kuimarisha Mahusiano: Sadaka inaweza kuboresha mahusiano ya kijamii kwa kusaidia wale walioko katika hali ngumu. Inakuza mshikamano na upendo ndani ya jamii.
- Kupata Thawabu: Kutoa sadaka ni moja ya matendo ya kheri yaliyoagizwa na Allah, na muislamu anapata thawabu (malipo ya Allah) kwa kila kiasi anachotoa.
- Kufungua Milango ya Baraka: Sadaka inafungua milango ya baraka na neema kutoka kwa Allah. Ni njia ya kuomba msamaha na kuonesha shukrani kwa yale aliyopewa.
- Kuzuia Dhambi: Kutoa sadaka ni njia ya kuondoa dhambi na kutakasa roho. Inasaidia kupunguza athari za dhambi na kuimarisha imani.
- Kuongeza Utu na Utu Uzuri: Sadaka inasaidia kuimarisha utu na utu uzuri wa muislamu. Ni njia ya kuonyesha huruma na upendo kwa wengine.
Aliwahi kukuambia hivyo huyo mama yake Halima!!??Safi sana ndo maana naupenda ukristo hiloo ni fungu la kumi.
Ila halima mdee hujamtendea mama yako haki alitamani kuona ukiolewa na kuona wajukuu.
Hahahaha aisee shida ni kutojua maandiko hali inayopelekea kusema yesu ni mungu mara miungu wapo watatunadhani alikuwa muislam, maana yake kwa wakristo, zaka ya 10% hawapewi masikini, wanatakiwa kupewa wale wa madhabahuni, ndio mshahara wao. kwahiyo hapo alitupa tu pesa zake.
kwahiyo maandiko yako wewe yanasema zaka inatolewaje? unajipangia namna ya kutoa, unafikiri unamsaidia Mungu?Hahahaha aisee shida ni kutojua maandiko hali inayopelekea kusema yesu ni mungu mara miungu wapo watatu