Nilijua Kenya ina siasa safi, kumbe wanasiasa za ovyo hazifai kuigwa

Nilijua Kenya ina siasa safi, kumbe wanasiasa za ovyo hazifai kuigwa

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu,

Mwanzo nilidharau siasa za nchi nyingine Afrika Mashariki, nikajiaminisha kuwa Kenya ndiyo wana siasa safi kuliko wengine, lakini nilipotea njia kabisa.

Kumbe Kenya inasiasa za Kiafrika, zilezile kama wengine. Hazifai kuigwa na nchi nyingine zisijifunze kabisa aina ya siasa za Raila za vurugu na fujo hazifai kuigwa.

Juzi tu uchaguzi, leo maandamano hata hawaeleweki wanataka nini na hawataki nini! Nchi nyingine fanyeni siasa za kisasa za kujali utu wa wananchi wenu, siasa za demoghasia kamwe nchi haiwezi kuendelea hata siku moja.
 
Wakuu,

Mwanzo nilidharau siasa za nchi nyingine Afrika Mashariki, nikajiaminisha kuwa Kenya ndiyo wana siasa safi kuliko wengine, lakini nilipotea njia kabisa.

Kumbe Kenya inasiasa za Kiafrika, zilezile kama wengine. Hazifai kuigwa na nchi nyingine zisijifunze kabisa aina ya siasa za Raila za vurugu na fujo hazifai kuigwa.

Juzi tu uchaguzi, leo maandamano hata hawaeleweki wanataka nini na hawataki nini! Nchi nyingine fanyeni siasa za kisasa za kujali utu wa wananchi wenu, siasa za demoghasia kamwe nchi haiwezi kuendelea hata siku moja.
Kuna wakati chama tawala kina fanya mambo mazuri kinakua na kasi kubwa sana mpaka wapinzani wanahisi kuonewa.. waulize chadema[emoji1787] Agenda yao imebaki kwa Azory gwanda, Ben saanane.. sijui naninani.. Raila anahofia kasi ya Samoye Ruto. Ni haki yao kikatiba kuandamana.
 
Wengine wenyu mkiandika chochote kuhusu Kenya huwa majiona mmekaribia mbinguni. Rais Ruto amesema ingawa maandamano hayo yanaipinga serikali yake, lakini atahakikisha kuna polisi wa kutosha kuwahakikishia waandamanaji usalama wao na pia kulinda mali za wananchi kutoharibiwa. Hiyo ndio demoksasia sio kupiga marufuku maandamano au kutumia polisi kuwatawanya waandamanaji. Revolutions nyingi duniani zilianzishwa na maandamano.
 
Tanzania mmefika pahala mnaona watu kuzuiwa kuandamana ni demokrasia?
 
Back
Top Bottom