Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Thread was deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshaambiwa ukitaka isiwe na kikomo usinunue vifurushi tumia salio la kawaida, na wakasisitiza kwa lugha ya kigeni wakasema "normal tariff"Hongereni Airtel
Kutoka sms 10,000 kwa buku (Mwezi mzima)
Hadi sms 9,000 kwa buku (Bei ile ile), tena sio mwezi tena bali ni kwa wiki
Hili ni zaidi ya ongezeko la 50%
Hakika mnaupiga mwingi
Yeyote anayenufaika na huu ujinga wanao ufanya makampuni ya simu, mungu ambariki sana
Sms 9000 kwa mwezi za nini? Hata wakifanya 100 tu kwa mwezi zinatosha. Issue ni dataHongereni Airtel
Kutoka sms 10,000 kwa buku (Mwezi mzima)
Hadi sms 9,000 kwa buku (Bei ile ile), tena sio mwezi tena bali ni kwa wiki
Hili ni zaidi ya ongezeko la 50%
Hakika mnaupiga mwingi
Yeyote anayenufaika na huu ujinga wanao ufanya makampuni ya simu, mungu ambariki sana