Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 276
- 436
- Thread starter
-
- #21
Aisee mi kuna moja la kichagga mpaka nikiwa napokea simu yeye mwenyewe anacheka kwanza yani utafikiri matatizo yanamfata yeye tu mara gesi imekata,mtoto ada mara baba anaumwa aisee nilijikuta naanza kuzeeka sababu ya majukumu ya ghafla
Mpe hela, toa pesa kwa mtoto. Acha ubahili!
Sio kila mwanamke anaweza kukufaa, kama unamwona wa gharama achana nae, sio size yako.
Mwachie nafasi kutane na wanaotoa matumizi bila hata kuombwa..... wapo
Na hao ndio wanaomfaa na yeye ndio anayewafaa
Pisi kali
... muhuni nikiwa nafaidi kulichezea chezea lile tako lake zuri.
Kidumu chama Cha wahuni[emoji38][emoji16][emoji2788]
Kama na wewe ni tabia yako hiyo, muwe mnatumia akili kwenye kupiga vizinga
Pisi kali ndo niniMabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani.
Kama mimiMimi mbona papuchi nakula kwa ujanja wengine nawatapeli papuchi...maisha yanaendelea..
Hilo ni lipaka mkuu ww elewana nalo ukapige tu acha mambo mengiSijajua kwa ndani ila kwa nje imenyooka mixer vitatoo flan vya uchokozi
Nje ya topicSio kila mwanamke anaweza kukufaa, kama unamwona wa gharama achana nae, sio size yako.
Mwachie nafasi kutane na wanaotoa matumizi bila hata kuombwa..... wapo
Na hao ndio wanaomfaa na yeye ndio anayewafaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lipaka hilo ...sio la kuliendekeza piga afu toka ndukiHilo ni lipaka mkuu ww elewana nalo ukapige tu acha mambo mengi
Sijui kwanini ana mnunulia beer wakati sio jukumu lakeHilo ni lipaka mkuu ww elewana nalo ukapige tu acha mambo mengi