Nilijua ni story tu ila dah! Pisi kali punguzeni kulia shida

Pole kama huna utaona kero[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume wingine kumhudumia mwanamke wake ndio fahari yake
Kwani anaye zugumziwa hapa siyo mwanamke wake mkuu ila awa Malaya tu
 
Umeharibu ulipoitaja ccm
 
MREJESHO; Jana nilifanikiwa kumtafuna, ila nimekuja kugundua alikua ni malaya bhana. Maanake baada ya kumla nilitaka kumpiga calenda nisimpe hela. Dah huo moto alouwasha ikabidi nimpe wekundu 3.
Hahahahahaha kumbe alikuwa maraya carey😅
 
Sio kila mwanamke anaweza kukufaa, kama unamwona wa gharama achana nae, sio size yako.

Mwachie nafasi kutane na wanaotoa matumizi bila hata kuombwa..... wapo

Na hao ndio wanaomfaa na yeye ndio anayewafaa
Mtoa mada umemuelewa?
Hajagoma kuhudumia ila yeye tatizo lake shida zinakuja ki "package" sanaaa.

Bin dada anatakiwa kutoa shida ki series yaani moja moja.

#YNWA
 
Mtoa mada umemuelewa?
Hajagoma kuhudumia ila yeye tatizo lake shida zinakuja ki "package" sanaaa.

Bin dada anatakiwa kutoa shida ki series yaani moja moja.

#YNWA

Nimemuelewa sana. Na yeye aelewe pia ameyataka majukumu sasa ndio ayafanye yanayotakiwa😅😅😅😅
 
Unasapoti ushenzi

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app

Kwani Kuna ushenzi zaidi ya ule wa kumtaka mwanamke kwa ngono halafu hutaki yale anayoyataka yeye. Huko ndio kukosa akili😃😃

Mithali 6:32​

"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…