chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Wa tz cjui tumelogwa na nani?niliitwa kwenye interview na nimetoka mbali from nanyumbu mtwara huko cyo halafu nimepigiwa cm j5 natakiwa dsm ijumaa nimejitahidi nimefika dsm but nimechoka vibaya nimeingia kwenye interview nikakuta wazungu 2 mbongo mmoja coz ni mara 1 kupga interview nilikua nnahofu kinoma na wale wazungu ikizingatia english yenyewe ya kuungaunga lakini cha ajabu wale wazungu walikua wanajitahidi kuongea english rahisi hili niwaelewe na nilikua nna wajibu fresh hla huyo mswahili alikua anaongea english km ananikoma misamiati migum yaani nnarudi gheto nnacheki kamusi ni vitu vinaeleweka niliulizwa maswali 8 mzungu 3 mbongo 5 ya mzungu nimepga ya mtz yote nimein