Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
IIe mikopo yetu ya mtandaon na makelele watu wanatumiwa msg za madeni wasiohusika nilijua ziko Tanzania tu
Hii michezoo iko hadi Kenya. Benki kuu imelaan tabia inayoendelea na wahusika wanaokopesha mtandaon na kuanza kuwasumbua watu walio kwenye cont za mdaiwa
Wamesema makubaliano n anaechukua mkopo na wao na sio walio kwenye cont zao
Wameapa kuanzia Dec kampuni zitahitajika kujisajili upya na kusaini makubaliano na pale watakapoenda kinyume basi wahusika watashatakia
Haha huko kuna whitepath kachafua halia ya hewa mbayaa kila kama kaipitia
Kazi ipo....
Na wasiwasi hata haya makampuni hapa Tanzania mengi n ya wakenya Wallah sio kwa usanii ule
Hii michezoo iko hadi Kenya. Benki kuu imelaan tabia inayoendelea na wahusika wanaokopesha mtandaon na kuanza kuwasumbua watu walio kwenye cont za mdaiwa
Wamesema makubaliano n anaechukua mkopo na wao na sio walio kwenye cont zao
Wameapa kuanzia Dec kampuni zitahitajika kujisajili upya na kusaini makubaliano na pale watakapoenda kinyume basi wahusika watashatakia
Haha huko kuna whitepath kachafua halia ya hewa mbayaa kila kama kaipitia
Kazi ipo....
Na wasiwasi hata haya makampuni hapa Tanzania mengi n ya wakenya Wallah sio kwa usanii ule