Nilijua tu ni mikwara ya Diamond

Nilijua tu ni mikwara ya Diamond

Broadcast

Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
76
Reaction score
285
Waungwana siku kadhaa nyuma diamond kwenye Insta story yake alichimba mikwara kwamba anarudi na kasi ya hatari na atakua trending no.1 mpaka january 2024. Mimi nilijua ilikua mikwara tu.

Kudhihirisha hilo leo ametoa wimbo wake wa my baby nafikir wote mmejionea Promo kubwa wimbo wa kawaida....Mfano huo wimbo angeimba underground yoyote tofauti na Diamond ungepigwa leo tu..

Diamond anashuka

Diamond anapoteza ubora wake

Watanzania hawaoni hilo kwakua wamemzoea
 
Hata mimi nimeshangaa diamond bado ni msanii mkubwa east africa ila kasi yake kukimbizana na wanaijeria imepungua
Screenshot_20230704-211420.png
 
Acha ukichaa wew hiyo si nyimbo mpya bali ni nyimbo ya kitambo ambayo haikuwa na video, sasa kaitoa leo na bado iko on trending ubaya uko wapi hapo?

Wabongo acheni chuki, hizo chuki zenu mngezikusanya mkawagawia hao wasanii mnaowaamini basi Bongo ingekuwa zaidi ya Nigeria kimziki.
 
Waungwana siku kadhaa nyuma diamond kwenye Insta story yake alichimba mikwara kwamba anarudi na kasi ya hatari na atakua trending no.1 mpaka january 2024. Mimi nilijua ilikua mikwara tu.

Kudhihirisha hilo leo ametoa wimbo wake wa my baby nafikir wote mmejionea Promo kubwa wimbo wa kawaida....Mfano huo wimbo angeimba underground yoyote tofauti na Diamond ungepigwa leo tu..

Diamond anashuka

Diamond anapoteza ubora wake

Watanzania hawaoni hilo kwakua wamemzoea
kwa nchi ya Tanzania ambayo 95% ya raia wake wanaendeshwa kwa hisia kuliko akili hawatakuelewa.
 
Back
Top Bottom