Wewe utakuwa una miguu ya kike bila shaka.Naiwaza ile miguu yake siku ya yanga, utafikiri alikua amesimamia mikono badala ya miguu.
Zile tungo la mkonga wa tembo ndio utunzi wa Harmonize ?Sishangai maana Harmonize alishasema alikuwa anamsaidia kutunga nyimbo huyu jamaa watu wakapinga .
Aisee!!!Naiwaza ile miguu yake siku ya yanga, utafikiri alikua amesimamia mikono badala ya miguu.
Miwa 😆Naiwaza ile miguu yake siku ya yanga, utafikiri alikua amesimamia mikono badala ya miguu.
kwa nchi ya Tanzania ambayo 95% ya raia wake wanaendeshwa kwa hisia kuliko akili hawatakuelewa.Waungwana siku kadhaa nyuma diamond kwenye Insta story yake alichimba mikwara kwamba anarudi na kasi ya hatari na atakua trending no.1 mpaka january 2024. Mimi nilijua ilikua mikwara tu.
Kudhihirisha hilo leo ametoa wimbo wake wa my baby nafikir wote mmejionea Promo kubwa wimbo wa kawaida....Mfano huo wimbo angeimba underground yoyote tofauti na Diamond ungepigwa leo tu..
Diamond anashuka
Diamond anapoteza ubora wake
Watanzania hawaoni hilo kwakua wamemzoea
Miguu utadhani ya kwareNaiwaza ile miguu yake siku ya yanga, utafikiri alikua amesimamia mikono badala ya miguu.