Nilijua tu

Nilijua tu

Snitch2020

Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
77
Reaction score
91
Jamani hayawi hayawi sasa yamekuwa. Kumbe promo zote zile clouds walikuwa wanataka kumsajili alikiba. Upuuzi mtupu. Ila sio kesi levo zake ni za akina Rayvan
 
Mbona kama umeumia mkuu? Clouds radio yao wenyewe na wao ndio wameona wamsajili huyo nani sijui Ali Kiba sijui sasa inakuwaje unaumia namna hii mkuu? Hivi kwanini vijana wa TZ tunakuwa na mahaba yasiyo na tija kiasi hiki aisee? Kuna shida gani wakimsajili arawa? Watapunguza ugali wako home au wataongeza?

Yaani vijana muda mnaotumia kufwatisha haya mambo na kuyaingiza mioyoni laiti mngejua unavyopotea asee

Wakimsajili Ali wakamsajili Nasib wakamsajili Chid Benz wa Tupac kisha wakamsajili Saida alafu wakamalizia kumsajili yule Mmakonde mwenzangu anaehangaika na makiki kila leo hadi anaboa mkuu inakupunguzia nini mkuu?

Hebu relax, fuatilia kwa kiasi tu usiwe unaumia kwa haya mambo, USISAHAU TU! Narudia tena USISAHAU TU kwa wenzako hao clouds na Ali Kiba ni biashara na wameingiza hela hapo sasa wewe na mimi?
 
Mbona kama umeumia mkuu? Clouds radio yao wenyewe na wao ndio wameona wamsajili huyMo nani sijui Ali Kiba sijui sasa inakuwaje unaumia namna hii mkuu? Hivi kwanini vijana wa TZ tunakuwa na mahaba yasiyo na tija kiasi hiki aisee? Kuna shida gani wakimsajili arawa? Watapunguza ugali wako home au wataongeza?

Yaani vijana muda mnaotumia kufwatisha haya mambo na kuyaingiza mioyoni laiti mngejua unavyopotea asee

Wakimsajili Ali wakamsajili Nasib wakamsajili Chid Benz wa Tupac kisha wakamsajili Saida alafu wakamalizia kumsajili yule Mmakonde mwenzangu anaehangaika na makiki kila leo hadi anaboa mkuu inakupunguzia nini mkuu?

Hebu relax, fuatilia kwa kiasi tu usiwe unaumia kwa haya mambo, USISAHAU TU! Narudia tena USISAHAU TU kwa wenzako hao clouds na Ali Kiba ni biashara na wameingiza hela hapo sasa wewe na mimi?
MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU. IMENIUMA KWELI
 
mistake nyingine kubwa kuliko zote aliyofanya diamondi ni hii ya kukaa mbali na hawa jamaa,hawa jamaa wameshikilia mziki wa bongo,wakiamua kukushusha wanakushusha na wakiamua kukupandisha wanakupandisha,mfano mzuri saida kaloli
 
Mbona kama umeumia mkuu? Clouds radio yao wenyewe na wao ndio wameona wamsajili huyo nani sijui Ali Kiba sijui sasa inakuwaje unaumia namna hii mkuu? Hivi kwanini vijana wa TZ tunakuwa na mahaba yasiyo na tija kiasi hiki aisee? Kuna shida gani wakimsajili arawa? Watapunguza ugali wako home au wataongeza?

Yaani vijana muda mnaotumia kufwatisha haya mambo na kuyaingiza mioyoni laiti mngejua unavyopotea asee

Wakimsajili Ali wakamsajili Nasib wakamsajili Chid Benz wa Tupac kisha wakamsajili Saida alafu wakamalizia kumsajili yule Mmakonde mwenzangu anaehangaika na makiki kila leo hadi anaboa mkuu inakupunguzia nini mkuu?

Hebu relax, fuatilia kwa kiasi tu usiwe unaumia kwa haya mambo, USISAHAU TU! Narudia tena USISAHAU TU kwa wenzako hao clouds na Ali Kiba ni biashara na wameingiza hela hapo sasa wewe na mimi?
Mkuu hatakuelewa kabisa ukiwa na mambo ya uteam sijui unakuaje jaman
 
Yaani ukiwa na uTeam akili unampa mwenye jina la timu wewe unabaki na ushabiki maandazi tu
Yaan hata akijikojolea atatoka atabisha kwa nguvu zote na picha zipo aisee akili inakuwa sio yako kabisa
 
diamond hawezi piga fiesta kwa sababu ni vodacom ambassador ni ile ni tigo fiesta..,ila sidhani kama wana tatizo na clouds ndio maana hata fiesta ya rwanda alienda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kama umeumia mkuu? Clouds radio yao wenyewe na wao ndio wameona wamsajili huyo nani sijui Ali Kiba sijui sasa inakuwaje unaumia namna hii mkuu? Hivi kwanini vijana wa TZ tunakuwa na mahaba yasiyo na tija kiasi hiki aisee? Kuna shida gani wakimsajili arawa? Watapunguza ugali wako home au wataongeza?

Yaani vijana muda mnaotumia kufwatisha haya mambo na kuyaingiza mioyoni laiti mngejua unavyopotea asee

Wakimsajili Ali wakamsajili Nasib wakamsajili Chid Benz wa Tupac kisha wakamsajili Saida alafu wakamalizia kumsajili yule Mmakonde mwenzangu anaehangaika na makiki kila leo hadi anaboa mkuu inakupunguzia nini mkuu?

Hebu relax, fuatilia kwa kiasi tu usiwe unaumia kwa haya mambo, USISAHAU TU! Narudia tena USISAHAU TU kwa wenzako hao clouds na Ali Kiba ni biashara na wameingiza hela hapo sasa wewe na mimi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] saafffff!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mistake nyingine kubwa kuliko zote aliyofanya diamondi ni hii ya kukaa mbali na hawa jamaa,hawa jamaa wameshikilia mziki wa bongo,wakiamua kukushusha wanakushusha na wakiamua kukupandisha wanakupandisha,mfano mzuri saida kaloli
Ilikua zaman cku hiz mitandao inafanya kaz ..mfano..sisi tupo nje ya tz lkn tunapata nyimbo zote na hatuijui clouds

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom