Nilikosa mkopo HESLB, Je! nikiomba tena?

Nilikosa mkopo HESLB, Je! nikiomba tena?

Lung'wecha

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
927
Reaction score
574
Mwaka jana nililazimika kuahirisha masomo ya chuo baada ya kukosa loan due to "budget exhaustion" sasa nina mpango wa kuomba upya mwaka huu ikiwa ni pamja na kubadl faculty na chuo! sasa je kuna utaratbu wwte kwa aliyeahrsha mwaka both in HESLB NA TCU? msaada!
 
Back
Top Bottom