Nilikosea jina wakati naomba chuo

Ryacoed

Senior Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
129
Reaction score
51
Tafadhali naombeni msaada, nimechaguliwa nilifanya application through nacte bt wakat na apply nilikosea jina la kati badala niandke S. nikaandka D. haitokuwa na madhara nikifka chuo. naomba msaada nifanyeje plzz
 
plz naombeni msaada plzz jimechaguliwa nilifanya application through nacte bt wakat na apply nilikosea jina la kati badala niandke S. nikaandka D. haitokuwa na madhara nikifka chuo. naomba msaada nifanyeje plzz

dah kumbe nacte mnaandika majina wenyewe?sisi huku tcu just unafix namb ya 4m4 na ya 4m6 yamakuja majina yote tena kwa usahihi
 
Daaah!!! Kwe2 hku unajax application mwenyew
 
Mkuu,kukosea kupo lakini unakosea hadi jina lako!any way,wewe nenda chuo utarekebisha huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…