Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

ss ww unajua ni dhambi na unauedilinnaye ni shetani kw nn huchukui hatua ya kulitumbua jipu unakuja jf kuuliza nn ss au ndo unatudhihirishia kwamba umetatua malinda na kwamba bado unakaribishwa kujizibulia huo mtaro muda wwt?
 
Tulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.
Una akili sana wewe mtoto...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…