Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

 
Yote ini yote ni sehemu.ya maisha.kwanza wewe hujatulia pili humuheshimu mkeo kwanza unatabia.za kizinzi.bora ajue.tu.akua che utakuja kumuua bure tatu umesema aliivua condom maana mlicheza kavu kavu yaani mi nilijua baada ya tendo akili kukurudi ungejuta kwa kuwa pengine umeambukizwa ukimwi au magonjwa ya.zinaa.bali.wala hujali tatu mtu wala hujamchunguza ndani ya week tu ushakula mzigo .inaonekana wewe ni zoa zoa ata machangu.inawezena unabeba sasa nakwambia kama hii story ni ya kweli jiandae huna maisha marefu. Hapa duniani huna thamani wala hujithamini maisha. Yako.wala kumuogopa Mungu hapa naomba huyo malaya apeleke hizo picha kwa mkeo ili aondoke hasije kufa.bure ili uendelee kwa nafasi na umalaya wako ona aibu na huo mwenendo wa maisha yako utubu na umrudie Mungu wako other wise utaangamia soon
 

Mkuu hivi unajua kuwa kwa mwanaume suala la kugegedana huwa halina kujiandaa, wakati wowote game likija mbele yako unapiga
 
Endelea kufumua marinda tuu maana hamna namna sasa
Afumue kwani yalikuwa yamefumwa? Hujasoma alipoandika likapita fyuuu na break ni p*umb*u?

Huyo ni mzoefu katika hilo kwahiyo hafumui marinda kwani hayakufumwa. Chai hii bana.
 
Duuuuhhh...! Pole sana,nadhani kila jambo lina njia ya kutokea you need to know her close friends uyaongelee naye ama nao kama yeye atakataa kufanya makubaliano....... Huuuhh
 
Hakuna cha bure mjini umepewa bundle,unelioa kuuogesha mdushe wako kwenye nnyaa looh ptyuuuu
 
Wazo lako linaweza kuwa zuri kwangu, lakini sasa bado hauoni pamoja na yeye kwenda jela na mi nitakuwa nimekosa mke
sasa utafanyaje, kuliko ukose mke na yeye aendelee kula bata bora nusu shari kuliko shari kamili!! by the way kuschepuka si ujanja dude!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…