Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Mkuu ni promotion ya mtandao upi unaodhani wewe, au kuna mahali ktk huo uzi umeona nimetaja jina la mtandao wowote
Ndugu yangu kwanza pile sana, pili nakushauri badala ya kudeal na huyo changu, fanya bidii umwambie wife na uhakikishe amekusamehe.nakushauri utubu ikibidi mnununie zawadi na umpeleke out mnapotaka kuongea. Na umwambie vyote kuwa na tigo umekula ila sio mchezo wako na kwamba umejutia hilo na hutakibkuendelea na mchepuko, alafu mpotezee huyo changu.ikiwezekana hata umwambie kuwa hawa wanawake wanafanya mitego ili kutuharibia ndoa, maana wanapiga picha na kutushurutisha tuendelee na uchepukaji. Jinyenyekezee ukoe ndoa maana ukiendelea na huyo demu walai ndoa yako inasambaratika sasa hiv maana nia ya huyo manzi ni mbaya sana!
 
it sound like a fiction! any way that is blackmail .there are three ways to deal with a blackmailer
1) report to the police
2)Beat her merciless
3)kill the son of a bitch.

I prefer the third kama ningekua mimi!
 
Ulikua kimya wakati kila siku id zako nyingine kazini.
 
Yaani bora ufe tuu ibaki historia maana hamna namna sasa!
 
Usijal ndugu yangu khabari za masiku tele?kifupi nilikuwa namaanisha kilakitu ndogo au jicho nadhani hapo tutaelewana.

Ooooooh......habari za macku tunashukuru Mungu zinakwenda, kuhusu lugha iliyotumika hapo ni kukwepa tu ile sheria ya makosa ya mitandao mkuu na wala ckuwa kwny promo
 
Ooooooh......habari za macku tunashukuru Mungu zinakwenda, kuhusu lugha iliyotumika hapo ni kukwepa tu ile sheria ya makosa ya mitandao mkuu na wala ckuwa kwny promo
Pamoja sana ndugu yangu wacha tuendelee kupambana kila la kheri.
 
Hadi jina la wanja unajua? Mruhusu amwambie mkeo tu, maana hamna namna.
Jamaa kafumua marinda "kavu kavu" na demu kasema huo mchezo kauzoea so hua anafumuliwa na wanaume kadhaa "kavukavu". Kuanzia hapo jamaa inabidi aanze kuwaza mengi sana aiseeee...
 
Mi najua wa SINA MUME na HAWARA MSHENZI huo siujui

Eh mbona zipo za aina nyingi tu Evelyn Salt, ukiachilia huo ambao unatumiwa na wanawake walio single, wanawake wakorofi au ambao wanajihami wasichukuliwe waume zao......lakini kuna ule unaitwa UKOME KULA KWA MAMA NTILIE MI NIPO KWA AJILI YAKO!
 
Aisee Galadudu kama ni mimi hta arekod apleke kwa wife cjui nn crudi ng'ooo....!

Halijakukuta mkuu, huo ni mtihani mkubwa sana aisee.......anakwambia:- kila nikihitaji kufanywa ni lazima uje unifanye, ukikiuka hili hakutakuwa na onyo wala nini, mzigo wote naumwaga kwa mkeo
 
Halijakukuta mkuu, huo ni mtihani mkubwa sana aisee.......anakwambia:- kila nikihitaji kufanywa ni lazima uje unifanye, ukikiuka hili hakutakuwa na onyo wala nini, mzigo wote naumwaga kwa mkeo
General Galadudu, kuliko dhambi iendlee bora wife ajue ntajielezaa hadi anielew.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…