Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Sasa General, hukuwa na machale au huna mbinu za Kikomando au Ushushushu ukaweza kutegua mtego?

Au ndo ile kichwa ya chini ikiwa Master ya juu inakuwa Slave???

Umeshawahi kuchunguza kwamba % kubwa ya mbwa wanaogongwa na magari ucku huwa ni madume......na umewahi kujiuliza ni kwann madume ndo hugongwa sana.......ukiilaza sana akili kwny PUCHI uwezo wa kuchunguza baadhi ya mambo huwa unapungua
 
Ahaaaaa wanavyoangaika kukupa pole. Dah hizi story zako nazimisi sana. Usisahau baada ya valentine kuleta nyingine. Kazi njema.
 
Yani nimejikuta nachekaaa hadi nikaulizwa mbona leo unafuraha sana lol
 
Awatafute madiwani wa ukawa wanazo hizo camera.
 
Ndo maana kashata waweza kuiita shashata hivi hivi!

Hhaahahahahaaaaaa SHASHATA weeeeh

Kwa mtoa mada: pole mueleze mkeo ukweli maana kufanya usichokipenda ni mbaya zaidi kuliko kufanya huku ukijua unarubuniwa (ila kabla ya kumueleza mkeo kapime ngoma) . Mbinu zaidi watakupa wanaume wenzio na waliopo kwenye ndoa au mahusiano ya kudumu. Kanjanja mie nimeishia hapo.

Kasie.
 
1. Anza na alikuunganishia... Muelezee storu nzima maana yeye kama ni mtego ni sehemu yake
2. Fanya ufanyavyo kama unaweza ukahama mji fanya hivyo maana yakishindikana ya kumtumia picha mkeo atakuja home staright
3. Fanya ufanyavyo hakikisha mkeo anabadili namba, maana anaweza akabipiwa any time kwa kutumiwa picha moja moja
4. Ushakuwa mtumwa wake kwa sasa, maana kama nia ni kukuharibia basi atataka akuite hata saa nane usiku huku ukiwa na mkeo
5. Jua kabisa kuwa jokoo kupanda mtungi ni kama kila kitu kipo sawa kisaikolojia. Nakuhakikishia katika mazingira hayo, unaweza ukaenda kwa ajili ya kutimiza lengo lake lakini usiweze kusimammisha, na hili likitokea unajuwa nini kitafuata

Swali, kwenye hizo picha kuna sura yako inaonekana vizuri..??
 

Ahsante sana mpendwa Kasinde hata kwa ushauri uliotoa sio haba, na jina lako limaonesha ni kama unatokea mkoa alotoka mama yangu
 
Namba 3 nitajitahidi kumshawishi wife afanye ivo huku nikitumia uongo wa hali ya juu sana maana na yeye atataka kujua sababu zinazofanya abadili namba.........na 4 uko sahihi kabisa na hilo ndo laniumiza kichwa kujua najichomoaje kwny huo msala...... kwenye hizo picha kuna kama 4 hivi sura yangu inaonekana kwa uwazi na kuna moja tatoo yangu inaonekana vzr sana, na tatoo hiyo naamini kabisa ninayo peke yangu tu...... kwny ile picha ya video nako sura yangu imeonekana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…