Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Ndugu wanabodi,
Juzi nilikuwa nimelala usiku ghafla nikashtuka na kufungua macho, nikawa na fahamu lakini mwili wote ukawa ume paralyse siwezi hata kuinua kiungo hata kimoja hali hiyo ilidumu kwa dakika chache nikajikuta napiga kelele ndipo mwili ukarudi hali ya kawaida. Kwa kifupi nilikufa kwa dakika chache hii ni condition gani? Matabibu nijuzeni
Juzi nilikuwa nimelala usiku ghafla nikashtuka na kufungua macho, nikawa na fahamu lakini mwili wote ukawa ume paralyse siwezi hata kuinua kiungo hata kimoja hali hiyo ilidumu kwa dakika chache nikajikuta napiga kelele ndipo mwili ukarudi hali ya kawaida. Kwa kifupi nilikufa kwa dakika chache hii ni condition gani? Matabibu nijuzeni