Huna lolote sema kutoa maji ndiyo kulikunogeaYaani nilikuwa sijawahi kukutana na kitu kama hiki katika maisha yangu.Nilikuwa nikisikia tu kwa watu nakuona kama wanazingua.Sasa baadaye yakaja kunikuta kwa dada mmoja wa Kihaya ambaye ni mfanyabiashara mzuri tu.Yaani nilipoonja siku moja nikajikuta nimekufa na kuoza juu yake.Nilifanya kila hila za kumsahau lakini wapi nikakumbuka waliowahi kukutana na masaibu kama haya.Baada ya yule dada kuhamishia biashara yake mkoani ndio ikawa pona yangu.[emoji12]
nipe namba yake mkuuMimi ndio mpk leo sijui nitatokajee mbali na yote aliyonifanyia najikuta tu bd niponae kwa huy mtoto wa wa kikinga penzi lake sijawahii kulisahau siku zote
Hahaha fursanipe namba yake mkuu
kabisaHahaha fursa
Ohoooooo![emoji2]Huna lolote sema kutoa maji ndiyo kulikunogea
Yaani nilikuwa sijawahi kukutana na kitu kama hiki katika maisha yangu.Nilikuwa nikisikia tu kwa watu nakuona kama wanazingua.Sasa baadaye yakaja kunikuta kwa dada mmoja wa Kihaya ambaye ni mfanyabiashara mzuri tu.Yaani nilipoonja siku moja nikajikuta nimekufa na kuoza juu yake.Nilifanya kila hila za kumsahau lakini wapi nikakumbuka waliowahi kukutana na masaibu kama haya.Baada ya yule dada kuhamishia biashara yake mkoani ndio ikawa pona yangu.[emoji12]