Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....

Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
Miaka 11 iliyo pita July 16 kuamkia july17

Nilimpoteza dada angu kipenzi RITHA

Sio kua sikuwai kushuhudia msiba hapanaa.........

Uli ishi Miaka 24 tuu....ndio kwanza ulikua umeanza Kazi ya utumishi serikalini....

Na mengi ya kuandika juu ya maisha yako najua hii page haito tosha...

Kifo chako Ilikua ni gafla sikuamin mpaka tunakufukia chini....

Nilipo kuaga kweny jeneza.... sikuamin....tulipo KUA kweny gari ya serikali kum safirisha mazikon stili nili ona ndoto

Nilijua ni ndoto ntaamka ila haikua ivyo....

Kuna muda nili lia nikakemewa, nikakatazwa na kuambiwa mwanaume halii...

Nili ishi na kuamini misiba na vifo haviwezi ipata familia yetu...
Sikuwai kujua mtu wa familia yetu anaweza fariki
Nilijua dada atarudi....
Nililia sanaaa....nili mkufuru na ku mtukana mwenyezi MUNGU.....takriban Miaka mi3

Kuna siku accidentally nilimtembelea bro ROJA nilimkuta ana angalia muvi ya maswahaba wa mtume muhamad (vijana Sana wa pangoni)

Hapo ndipo nili badilika mtazamo na kupata tiba.......Japo kua mimi ni Mkristo ila ile muvi ili ni jenga sana

Na amin kuna walio wai pata mapigo makubwa zaid ya Hili....

Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....
 
Pole sana! Hakika msiba unauma sana, na hasa kwa yule umpendaye/ uwapendao.

Ingawa sijaelewa kitu hapo kwenye muvi ya maswahaba wa Mtume Muhamad! 🙄 Ila mimekuelewa sana huko kwingine.
 
1994 nilpoteza dada yangu kipenzi kwa kifo cha uzazi. I can feel you n can't hold my tears. Napata faraja ameniachia anko. Nampenda sana japo hamjui mama yake. La msingi ni kuwaombea 'maghfirah' Allah awasamehe madhambi yao. Nimefiwa na wengi nikiwa mkubwa, ila siwezi sahau msiba ule wa dada yangu nikiwa darasa la tatu tu. ALLAH amseheme madhambi yake na wote waliotangulia, amin!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 11 iliyo pita July 16 kuamkia july17

Nilimpoteza dada angu kipenzi RITHA

Sio kua sikuwai kushuhudia msiba hapanaa.........

Uli ishi Miaka 24 tuu....ndio kwanza ulikua umeanza Kazi ya utumishi serikalini....

Na mengi ya kuandika juu ya maisha yako najua hii page haito tosha...

Kifo chako Ilikua ni gafla sikuamin mpaka tunakufukia chini....

Nilipo kuaga kweny jeneza.... sikuamin....tulipo KUA kweny gari ya serikali kum safirisha mazikon stili nili ona ndoto

Nilijua ni ndoto ntaamka ila haikua ivyo....

Kuna muda nili lia nikakemewa, nikakatazwa na kuambiwa mwanaume halii...

Nili ishi na kuamini misiba na vifo haviwezi ipata familia yetu...
Sikuwai kujua mtu wa familia yetu anaweza fariki
Nilijua dada atarudi....
Nililia sanaaa....nili mkufuru na ku mtukana mwenyezi MUNGU.....takriban Miaka mi3

Mpaka nilipo angalia muvi ya maswahaba wa mtume muhamad (vijana Sana wa pangoni)

Hapo ndipo nili badilika mtazamo na kupata tiba.......

Na amin kuna walio wai pata mapigo makubwa zaid ya Hili....

Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....
Pole sana mkuu, tuwaombee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana! Hakika msiba unauma sana, na hasa kwa yule umpendaye/ uwapendao.

Ingawa sijaelewa kitu hapo kwenye muvi ya maswahaba wa Mtume Muhamad! 🙄 Ila mimekuelewa sana huko kwingine.
Mm ni msiri na sikuwai kutoa chozi hadharan tangu nilipo ambiwa mwanaume halii kama mtoto...hiyo muvi ni yaki islam ila ina mafunzo Sana....japo kua mm ni mkristo...
 
Miaka 11 iliyo pita July 16 kuamkia july17

Nilimpoteza dada angu kipenzi RITHA

Sio kua sikuwai kushuhudia msiba hapanaa.........

Uli ishi Miaka 24 tuu....ndio kwanza ulikua umeanza Kazi ya utumishi serikalini....

Na mengi ya kuandika juu ya maisha yako najua hii page haito tosha...

Kifo chako Ilikua ni gafla sikuamin mpaka tunakufukia chini....

Nilipo kuaga kweny jeneza.... sikuamin....tulipo KUA kweny gari ya serikali kum safirisha mazikon stili nili ona ndoto

Nilijua ni ndoto ntaamka ila haikua ivyo....

Kuna muda nili lia nikakemewa, nikakatazwa na kuambiwa mwanaume halii...

Nili ishi na kuamini misiba na vifo haviwezi ipata familia yetu...
Sikuwai kujua mtu wa familia yetu anaweza fariki
Nilijua dada atarudi....
Nililia sanaaa....nili mkufuru na ku mtukana mwenyezi MUNGU.....takriban Miaka mi3

Mpaka nilipo angalia muvi ya maswahaba wa mtume muhamad (vijana Sana wa pangoni)

Hapo ndipo nili badilika mtazamo na kupata tiba.......

Na amin kuna walio wai pata mapigo makubwa zaid ya Hili....

Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....
Pole Sana mkuu!
 
Back
Top Bottom