Nilikutana na My wife kupitia gazeti la majira...

mimi nilipewa namba ya simu na rafiki angu an stil nko naee
nkamua proach...
akazingua
nkarudia tena after month.....weweeeeee mtoto akilaini mwenyewe then tukafanya meeting ya 1.
 



Case yako imefanana sana ya yangu banaa...
 
Unashangaza kweli na maswali yako...kwani watu wanaopanda daladala ni wa aina gani?!

Nashangazwa na kuingia kwenye mahusiano bila kufahamiana kabla ya kukutana kwenye daladala. Mshangao wangu haupo kwa aina ya watu wa kwenye daladala.......upo katika sehemu ya kukutania. Bora hata mfahamiane kwanza kupitia kisimani, darasani, kazini, kijijini,
 

Kwahiyo unadhani walishuka kwenye daladala wakafunga ndoa..?, lazima walifahamiana kwa muda..
 
Kwani hao wanaokutana kisimani,darasani,kazini na kijijini wanakuwa wamefahamiana before? Lazima kuna siku ya kwanza kuonana halafu huko kufahamiana kunafata na kwao mara ya kwanza walikutana kwenye daladala.
 
Kweli ushamba/ujinga hauna bei!!!Haya endelea kushangaa basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…