johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
PAMOJA na umahiri wa Maseneta na Mawakili wa Kenya katika kuchambua vifungu Vya Katiba kimoja baada ya kingine ni Wazi kabisa Katiba Mpya ya Kenya inabaki kuwa Bora.
Dah hawa Wanasheria ni noma.
Yaani Katiba imesheheni kila kitu ila pale kwenye Impeachment inasoma " President" na siyo " Deputy President" nadhani ni kwa sababu Rais ni Taasisi.
Ngoja tuone 😂
Kwako Lucas Mwashambwa
Dah hawa Wanasheria ni noma.
Yaani Katiba imesheheni kila kitu ila pale kwenye Impeachment inasoma " President" na siyo " Deputy President" nadhani ni kwa sababu Rais ni Taasisi.
Ngoja tuone 😂
Kwako Lucas Mwashambwa