Elections 2010 Nilikuwa mkereketwa wa CHADEMA lakini nimejitoa

Zawadi umeolewa?

Ukinijibu natakupa ushauri mzuri.
 
Zawadi umeolewa? .

Hara hara wandugu jina la ZAwadi linatumika kwa jinsia zote mbili, haliko specified kuidentify gender ya mtu tufauti na majina kama William au Grace au Abdallah abayo ukiyasikia tu huna haja ya kuuliza gender ya mtu>>> Wasiwasi wangu msijekutakiwa kumwomba radhi mwenzenu"...
 
 
Naipenda hiyo nyekundu hapo juu....you are right in your own right!
Hivi unajua nini? A section of Tanzanians who were on the wrong side of Nyerere's no nonsense iron hand branded the old man a "dictator". And they were bloody right in their own right just like you are now.

Sidhani hawa tunaowaita fisadis sasa na wafuasi wao wangekuwa wanaendelea kutanua mitaani (let alone kwenye majukwaa ya kampeni) enzi za mwalimu....no bloody way!

For so long Tanzanians have been craving for a modern Nyerere, and in Slaa, I can see one.
Una haki ya kuandika ulichoandika lakini warudishie salaam waliokutuma kuwa moto wa kuirudisha nchi hii kwenye misingi aliyoiacha mwalimu umekolezwa kisawasawa hivi ninavyokwambia na tanuru lake litakamilika Oct 31!
 


MMH, kweli u did ur homework!!!
 
Zawadi,japo sina uhakika kama jina la Zawadi ni pen name ua real name, kama ni just pen name, its ok, iache hii thread hivi hivi ilivyo lakini kama Zawadi ndilo jina lako halisi nakushauri tubu kwa kuposti uwongo huu before its too lake. Your name say it all, naamini unazijua sababu za wewe kupewa jina hilo lakini hujui sababu iliyowafanya wazazi wako yawakute yaliyowakuta kabla wewe hujazaliwa, hivyo nakushauri usilianzishe ukijiaminisha its like a joke humu JF, kwa mujibu wa law of 'karma', there is a price to pay for every evil you do delibarately.

The motive behind post yako hii ni evil belive me, you'll pay very dearly na sio mbinguni ni hapa hapa duniani. Amini usiamini usifikiri laana lazima itoke kwa waliokuzaa tuu, watu wana powers za ajabu, tubu before its too late vinginevyo!....
 
Kiukweli Slaa hakuwa amejiandaa kugombea nafasi ya urais. Kwani angejiandaa kwa kuoa na kufanya mambo muhimu yanayoweza kujenga taswira nzuri ya rais. Hata CHADEMA kama chama hakikuwa na dhamira ya dhati ya kushika dola ndo maana hawakusimamisha wagombea katika majimbo yote.
 
hivi kwa kauli kama hii utawapa bill hao ccm ya kuwafanyia kampeni?
any way zile t-shirt na safari za kwenye malori ndio bei yako? mpenzi Zawadi?
 
Mods kama mwenzangu aliyetangulia mm pia ninaheshimu uhuru wa mawazo wa mtu yeyote,nadhani kuwe na IQ test kabla ya m2 kupost hasa Junior members.wanoibuka kila uchao!!!..
 
wana mageuz poleni kwa hii, namuombea msamaha mana anaonekana ni anal thinker
 
one phrase to you,
wakati wa kupepeta mchele, pumba huwa nyepesi mno kiasi kwamba ni vigumu kurejea kwenye ungo. hupeperushwa na upepo kuangukia ardhini hamapo mambo mawili hutokea, kati ya kufagiliwa na kutupwa jalalani au kudonolewa na kuku au ndege. ndiyo yaliyokukuta zawadi. pole sana. subiri ndege wakufanye msosi au uelekeo wa jalalani
 
aisee!.....
this is what we call GREAT THINKING!?...:biggrin1::biggrin1:
 
Zawadi .... Pole sana. Tafuta njia nyingine ya kulaghai mlango uliopitia hakuna wa kumkamata !!!! Mfa maji............. !!!!
 
Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1) ]


This is character assassination. MODS, naomba huyu mama apewe ONYO KALI

Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi. ]

Na hii nayo ni MOJA ya ''sababu'' unayotaka wananchi waitumie kumnyima kura Dr. Slaa?? kweli akiri ni nywele..... wengine wanatumia za kwapani

Wewe kama ulijitoa CHADEMA, ni sawa na kuvuja kwa pakacha tu. Toka na nenda zako taratiiiiibu. Huna sababu ya kutoa sababu na matusi yasiyo na kichwa wala miguu
 

Stupid.....! Mnxiuuu!
 
wewe huwa na mdini nilijua tu utakuja na gia ya namna hii..pole yako.
 
naamini kwenye suala la uhuru wa maoni lakini vilevile inabidi admn uweke minimum IQ requirement kupost kwenye hii forum ,mtu anasema dr slaa si maarufu dar wala dodoma atakaa ikulu ipi? sikumbuki kusoma comment ya kipumbavu zaidi hii

Nilijua ni mimi peke yangu ambaye nimeiona ya kipumbavu, I bet alikuwa anaandika hii thread akiwa kifuan kwa msela.., maana kwa akili ya kawaida hata chizi hawezi andika upupu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…