Nilikuwa mlevi sana wa kuokota wanawake wa kila aina nikafilisika

Nilikuwa mlevi sana wa kuokota wanawake wa kila aina nikafilisika

Pentamycin

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
210
Reaction score
281
Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi, sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar, tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni, nimle kisamvu.

Kwa akili za kilevi nikamchakata baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu. Mtaalamu mmoja akaniambia huyo dada alisepa na nyota.
 
Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi,Sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar,tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni,nimle kisamvu,Kwa akili za kilevi nikamchamata ,baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu,mtaalamu mmja akaniambia huyo dada alisepa na nyota
Tanzania ngumu vijana wa chadema wamekuwa wa hovyo sana kama huyu

USSR
 
Dunia imekwishaaa, nimecheka hadi nimepaliwa na sharbatii baridii. Nyie ndo mnafanya watu tukiwa ibadani tunajikuta tunacheka wenyewe kama machizi.

Au mtu anaongea unaanza kucheka anajua amekufurahisha kumbe unakumbuka maupuuzi kama haya
 
20230328_091036.jpg
 
Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi, sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar, tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni, nimle kisamvu.

Kwa akili za kilevi nikamchamata baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu. Mtaalamu mmoja akaniambia huyo dada alisepa na nyota.
Tubu dhambi zako, Mungu atavirejesha vyote vilivyoliwa na madumadu, nzige, na tunutu.
 
Dunia imekwishaaa, nimecheka hadi nimepaliwa na sharbatii baridii. Nyie ndo mnafanya watu tukiwa ibadani tunajikuta tunacheka wenyewe kama machizi.

Au mtu anaongea unaanza kucheka anajua amekufurahisha kumbe unakumbuka maupuuzi kama haya
🤣
 
Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi, sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar, tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni, nimle kisamvu.

Kwa akili za kilevi nikamchamata baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu. Mtaalamu mmoja akaniambia huyo dada alisepa na nyota.
Ndio gharama za Uzinzi hizo.
 
Imebidi nicheke tu...dunia ina watu sana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kisamvu kama kisamvu kikasepa na nyota ya Mkurungwa.[emoji28]
 
Back
Top Bottom