Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Wewe picha hii umeitoa wapi wakati upo huko kwenu mkoani ?!Nimeogopa sana!
Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭
Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
View attachment 3264472
Mbn sioni wanawakeNimeogopa sana!
Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭
Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
View attachment 3264472
HeheheheheheheheheheheheheheheheDar sio pa kinyonge lazima uwe na moyo mgumu, unaambiwa jana kwenye derby kuna mwamba alileta juisi lita 150 ameuza lita 7 zilizobaki ikabidi anywe mwnyw na familia yake 🙌
Kwa wenzio hiyo ni fursa, ndio maana wakiona TU limejaa wanakimbilia ili wakatimize matamanio Yao (kubambia )
Noma kweli...nilishuhudia live mzungu akibambia limama limoja hivi mwanzo mwisho....nikajua hii michezo ni huku Bongo, kumbe hata wazungu nao wapo, alafu mzungu alikuwa kizee....aisee hii Dunia Ina Mambo mengi ya kustaajabisha😅😅😅 hii wengi hawaisemagi, maana ni unconditional
Waliotokaga boarding shule za boys... Hii inasumbua sana, wanaweza zani unafany makusudi kumbeeNoma kweli...nilishuhudia live mzungu akibambia limama limoja hivi mwanzo mwisho....nikajua hii michezo ni huku Bongo, kumbe hata wazungu nao wapo, alafu mzungu alikuwa kizee....aisee hii Dunia Ina Mambo mengi ya kustaajabisha
Ccm ni 👉💩💩💩💩Nimeogopa sana!
Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭
Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
View attachment 3264472
HakikaWaliotokaga boarding shule za boys... Hii inasumbua sana, wanaweza zani unafany makusudi kumbee