Penye tatizo pana fursaNimeogopa sana!
Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭
Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
View attachment 3264472
Karibu kijijini mkuu hapa kutembea kilomita 10 kwa mguu kawaida sanaWewe picha hii umeitoa wapi wakati upo huko kwenu mkoani ?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar sio pa kinyonge lazima uwe na moyo mgumu, unaambiwa jana kwenye derby kuna mwamba alileta juisi lita 150 ameuza lita 7 zilizobaki ikabidi anywe mwnyw na familia yake [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwendokasi ni daladala iliyochangamka.