Nilikuwa na Uhusiano na Jini, leo nimemkataa mazima

We jamaa ilikuwa na roho kavu sana, wenzako nyumbani kwao ndio kipaumbele Bora mtu anywe yeye uji kuliko wazazi kutaabika hivyo dah, so sad....halafu uje urudiane naye utakuwa mtu mmoja wa ajabu sana sometimes kuwa makini na kujua Nini unafanya aisee hasa Kwa wanawake.
 
Pole mzee maamuzi ya kiume
Usimpongeze kwanza.

Hana hela ya kumpa demu ndiyo maana anamwita jini. Akipata pesa atamwomba radhi kwa kutuuma hela halafu akiangalia picha ya ngamia, atampiga mpunga mrefu ili warudiane.

Hapo hakuna kijana. Ni vuvuzela tu huyu. Unamlipia demu pango 1.4m halafu hela ya kula mama mzazi 3k, kweli??
 
Ukisoma story yake anaye mbadala sema ndio hivyo inaonyesha hana mzuka nae
 
Achana na majini hayanaga huruma halafu yanajua kukamata akili na unakuwa unajua kabisa hili bomu ila kulitupa inakuwa shida. Uzuri ukishapata experience ya jini ukalitupa basi hakuna jini lingine litaweza kukusumbua.
Umenichekesha
 
Hizo ela mnazoonga kwa wanawake eti milioni na laki nne huwa hazina matumizi au
 
Shida wa wanawake wa hivyo hawanaga shukrani yaani anaona kama anakufanyia hisani,kibaya zaidi anakuwa kawapanga foleni
 
Vzuri sana sema ungemwambia akope pesa ndefu kusudi iwe funzo.

Mhhh kusuka na lotion laki 3, wakati sie
tukinunua mafuta ya kupikia hayo hayo na ya kupaka mwezi unaisha tunawaka.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ewww
 
Chizi Maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…