Nilikuwa najua Wema anaonewa,kumbe huyu binti ni wa namna hii

Nilikuwa najua Wema anaonewa,kumbe huyu binti ni wa namna hii

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
View attachment 428543View attachment 428543View attachment 428544

Umaarufu kunuka.Kipindi mile wakati huyu binti anasakamwa sana nilikuwa naamini anaonewa tu,pengine wivu.

Nimepata dakika 2 za kumfuatilia aisee huyu binti ni mchafu hafai hata kwa mkopo.Ana wazazi huyu binti.Baba take yupo hai?Ana washauri?Mbona bongo kuna mamisi kibao tu,hawana tabia chafu kama huyu

.Kamati ya miss Tanzania kwa mini msimnyanganye taji huyu
 
View attachment 428543View attachment 428543View attachment 428544

Umaarufu kunuka.Kipindi mile wakati huyu binti anasakamwa sana nilikuwa naamini anaonewa tu,pengine wivu.

Nimepata dakika 2 za kumfuatilia aisee huyu binti ni mchafu hafai hata kwa mkopo.Ana wazazi huyu binti.Baba take yupo hai?Ana washauri?Mbona bongo kuna mamisi kibao tu,hawana tabia chafu kama huyu

.Kamati ya miss Tanzania kwa mini msimnyanganye taji huyu
hamna asiyekuwa na tabiaa chafu inategemea na anapozifanyiaa so relax kabla ya kumpointiaa kidole jiulize wewe ni msafi?na usafi wako ni wa eneo gani?mbele za watu au mafichoni?then ndo ujue unachokiongeaa kumnyanganya taji doesnt mean kuwa ndo kutaondolewa kwenye record kuwa ashawah kuwa miss and by the way taji alisharudisha ...tukimuongeleaa ndo anapenda cha msigi nikumuachaa ilaaa mwisho wake ushakaribiaa very soon
 
Back to the topic. ...huyo mtu na shape lake fake ni mchafu na inawezekana hata k fake anayo, hawashindwi
 
kila akifanya uchafu ndio anaandikwa saaana (kiki)
 
uyu atakua alikua inmate wa prison kubwa kama Chikurubi maximum pale Harare na tena alitumikia more than 12 years ndani hahahahah
Hahahaha ndio tumkaribishe ndugu yetu uraiani, usikute hata hajui kua Kanumba alifariki.
 
Mkuu ntumie pm iyo picha.....naona mods wameitoa
 
Inasikitisha sana,wakati wenzie wanakuwa role model,wanahudumia jamii yeye anakesha mitandaino eti anaiuliza timu yake kama manyonyo yake bado SAA 6
 
AH,MBONA PICHA HAZIFUNGUKI BANA
1478148624064.png
1478148624064.png
 
hamna asiyekuwa na tabiaa chafu inategemea na anapozifanyiaa so relax kabla ya kumpointiaa kidole jiulize wewe ni msafi?na usafi wako ni wa eneo gani?mbele za watu au mafichoni?then ndo ujue unachokiongeaa kumnyanganya taji doesnt mean kuwa ndo kutaondolewa kwenye record kuwa ashawah kuwa miss and by the way taji alisharudisha ...tukimuongeleaa ndo anapenda cha msigi nikumuachaa ilaaa mwisho wake ushakaribiaa very soon
Asante haya ni zaidi ya mahubiri
 
wema hayupo facebook we nawe umechoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa though ni mchafu ila kwa hili big nooooooooooooo mwacheni kwa kweli
Huyo siyo wema mkuu?mbona mamia ya vijana wapo kwenye hill group,kwa kuchafuliwa kote huko ameripoti tcra?
 
Back
Top Bottom