Nilikuwa nakosa uhondo

Nilikuwa nakosa uhondo

Mommadou Keita

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
230
Reaction score
238
Hodi jamani hodiiiii... wenyewe mpooo? miye mwenzenu mgeni mtaa huu, ndiyo kwanza leo nimeingia, naomba mnipokee... ila miye ni mjanja sana na Great Thinker sidhani kama mnaweza kuniiingiza mjini... ila kwa ustaarabu nimeona heri nipige ningeweza kuingia kimyakimya... Hodi jamani hodiiiiiii?
 
Hodi jamani hodiiiii... wenyewe mpooo? miye mwenzenu mgeni mtaa huu, ndiyo kwanza leo nimeingia, naomba mnipokee... ila miye ni mjanja sana na Great Thinker sidhani kama mnaweza kuniiingiza mjini... ila kwa ustaarabu nimeona heri nipige ningeweza kuingia kimyakimya... Hodi jamani hodiiiiiii?

Karibu sana kuna wajanja zaidi yako humu..........pitia haa kwanza....JamiiForums Disclaimer and Rules
 
Back
Top Bottom