Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
ndoa ndoa Ndomaana ndo hazidumu kwani manaume akikwambia anakuoa hata kama humpendi ndo ukubali tu kisa ndoa?ukiona anadengua hajakupenda na kama amerudi jue we ni mbadala tu,wanaume bwana,nimesema na naomba ,sitaolewa na mwanaume nisimpenda kisa ei nisafishe nyota tu.