naamini ukiingia practical na levo 3 wa VETA HUMCHOMOKI amini nakwambia
Ushauri make sure unakuwa nondo saaana kazi zipo
Tanapa
Tpa
Tpdc
Tasac
Ewura
Tanesco
Industries
Migodini
UN
Pote huko wanahitaji watu wa mechanical engineering issue ni kuwa sijawai kuona mtu mwenye hiyo digrii anamchomoka mtu wa VETA kwenye prak