Micro IQ
Member
- May 13, 2018
- 73
- 122
Nilikua nawaza tu Hivi hii JF forum hatuwezi kuichange iwe saccos,then tununue magari yetu mazuri, mabus na boda boda zituletee faida,.
hiyo faida tununue meli nyingi za kusafirisha mafuta na makontena toka mabara ya Ulaya na Asia.
Na ifikie hatua tukipata faida kubwa tumnunulie kila member wa hii Forum ndege yake halafu tumjengee na magorofa?
Hii idea mnaionaje? Nimeileta kwenu kwani hizo Forum zingine naona hawana future.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]fanta
leo ndio kwanza ya kwanza etii vipi niendelee kuivuta si nina mawazo chanya.
hiyo faida tununue meli nyingi za kusafirisha mafuta na makontena toka mabara ya Ulaya na Asia.
Na ifikie hatua tukipata faida kubwa tumnunulie kila member wa hii Forum ndege yake halafu tumjengee na magorofa?
Hii idea mnaionaje? Nimeileta kwenu kwani hizo Forum zingine naona hawana future.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]fanta
leo ndio kwanza ya kwanza etii vipi niendelee kuivuta si nina mawazo chanya.