Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Zamani kipindi nimepigika nilikuwa kutwa kulalamika jinsi Serikali imetubania ajira na jinsi mademu zetu wanavyotuomba hela wakati utamu tunapata wote nikawaga VIP wa chaputa.ila baada ya kushika pesa na kushauriwa na ndugu yangu Darmian nisiwe mbahili kama kweli nataka tobo nikaufanyia kazi ushauri wake.aisee kweli bhana hio mbinu kumbe inafanya kazi kwa asilimia zote..maneno mengi ya Nini wewe weka dau lako bila kuhonga utachokwa mapema sana. Evelyn Salt kuanzia sasa nakuunga mkono tuwapeni hela mtupe nyama hio tuchetuke kidogo.Jamani mdogo wenu Niko makini nawaahidi nitatumia mpira kwa kila tendo sitaki habari za kuambiwa sijui mimba nilee mtoto sitaki hizo.sitaki majukumu yoyote naona tu raha ndani ya sofa kwa chini iwepo pesa 200000,ukienda kwenye mto hukosi 170000..m pesa 310000,,halopesa 100000....NMB 600000 Raha sana.prostate cancer byebye.
 

Attachments

  • Screenshot_20211015-121855.jpg
    Screenshot_20211015-121855.jpg
    30.2 KB · Views: 21
Jana nimempa na juz nimempa sema yule mtoto kwa mauno Yale acha nimpe tu ten kuliko kwa Malaya wa 4000 AMBAO ukichelewesha bao wanakuwa wakorofi
Sio hivyo tu, bali wengine ni wezi pia. Kama umempata wako mmoja hongera, siku nyingine hata kwa 4K au bure kabisa unajipigia tu.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Zamani kipindi nimepigika nilikuwa kutwa kulalamika jinsi Serikali imetubania ajira na jinsi mademu zetu wanavyotuomba hela wakati utamu tunapata wote nikawaga VIP wa chaputa.ila baada ya kushika pesa na kushauriwa na ndugu yangu Darmian nisiwe mbahili kama kweli nataka tobo nikaufanyia kazi ushauri wake.aisee kweli bhana hio mbinu kumbe inafanya kazi kwa asilimia zote..maneno mengi ya Nini wewe weka dau lako bila kuhonga utachokwa mapema sana. Evelyn Salt kuanzia sasa nakuunga mkono tuwapeni hela mtupe nyama hio tuchetuke kidogo.Jamani mdogo wenu Niko makini nawaahidi nitatumia mpira kwa kila tendo sitaki habari za kuambiwa sijui mimba nilee mtoto sitaki hizo.sitaki majukumu yoyote naona tu raha ndani ya sofa kwa chini iwepo pesa 200000,ukienda kwenye mto hukosi 170000..m pesa 310000,,halopesa 100000....NMB 600000 Raha sana.prostate cancer byebye.

Nawaacha na wimbo wa skales ft Konde boy -oyoyoView attachment 1975084
Hiyo screen shot ikionwa unaweza kuchezea kichapo shauri yako! Ukiweza ifute fasta
 
Zamani kipindi nimepigika nilikuwa kutwa kulalamika jinsi Serikali imetubania ajira na jinsi mademu zetu wanavyotuomba hela wakati utamu tunapata wote nikawaga VIP wa chaputa.ila baada ya kushika pesa na kushauriwa na ndugu yangu Darmian nisiwe mbahili kama kweli nataka tobo nikaufanyia kazi ushauri wake.aisee kweli bhana hio mbinu kumbe inafanya kazi kwa asilimia zote..maneno mengi ya Nini wewe weka dau lako bila kuhonga utachokwa mapema sana. Evelyn Salt kuanzia sasa nakuunga mkono tuwapeni hela mtupe nyama hio tuchetuke kidogo.Jamani mdogo wenu Niko makini nawaahidi nitatumia mpira kwa kila tendo sitaki habari za kuambiwa sijui mimba nilee mtoto sitaki hizo.sitaki majukumu yoyote naona tu raha ndani ya sofa kwa chini iwepo pesa 200000,ukienda kwenye mto hukosi 170000..m pesa 310000,,halopesa 100000....NMB 600000 Raha sana.prostate cancer byebye.

Nawaacha na wimbo wa skales ft Konde boy -oyoyo
View attachment 1975141
Makelele yoote unataka Mbususu kwa pesa hii
2964564_Screenshot_20211015-121855.jpg
 
We unatoaga Bei gani?kama ni zaid ya 30000 basi unapigwa kaka

Bei elekezi ni 4000 kushtuka kijoti kifo Cha Mende
Na ya kukaliwa kwa juu ni 10000.tofauti na hapo unaibiwa
Sasa usiseme umepata hela?
Kwa huo msimbazi hapo unataka ukalale kwake ili usilipe gest na unagongea na msosi?🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom