Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Hahahah anatakiwa acheze kama pele! Kwa tabu nilizopitia ningeanza na kuwekeza kwanza aisee very soon as possible!
Huwa haipo hivyo. Kwanza akili za ujana zinamtuma kuwa kutokana na kuteseka sana na kukataliwa na wanawake kisa hana hela ndio muda sasa wa kuwachakata, kwakuwa hakuwa na dough na aliishi kwa mizinga basi ndio muda wa kula maisha kila bar ataijua na kila club atakesha.

Mjini tena kutembelea kalio ndio ufahari hapo kashasema atachukua boom ili na yeye atembelee kali. Akishamiliki chuma ndio basi imeisha hiyo ni kula bata tu na mamanzi wa kila aina.

Siku anapewa barua ya kusimamishwa kazi ndio alarm inapiga kwa fujo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Acha mkuu kunipa laana...nataka mademu wenye mashape buffalo mwendo kama hawakanyagi chini
 
Mkuu leta updates basi..leo tunasubiri update mbili tu..moja kutoka Arusha kwa General Sabaya na nyingine ya kwako..

Mtoto amekubali hiyo 10k?
 
Aisee hiyo elfu 10 ndo umeiona hela nyingi?
 
Shule zimefungwa kwani? Mbona sielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…