Nilime nini kati ya mahindi,alizeti au soya?

Nilime nini kati ya mahindi,alizeti au soya?

Mwenye taarifa ya soko la uwakika anishauri nataka niende shamba.
 
Mwenye taarifa ya soko la uwakika anishauri nataka niende shamba.
Kwa bei ya mahindi ilivoporomoka huu mwaka na mahindi kuwa mengi kulingana na uzalishaji mkubwa uliofanywa msimu uliopita tarajia mwakani mahindi kuadimika sana sana sana sokoni na bei kupanda mara dufu kama mwaka 2016/2017 kutokana na wakulima wengi kuzira kulima, hivyo nakushauri lima mahindi changanya na alizeti hakika mwakqni hautojuta utakuja kuleta mrejesho
 
Unataka kulima angani ili uuze peponi??,Sema uko wapi??
 
Kabla ya wadau kukushauri,kuna mambo kadhaa nadhani ni Muhimu kuyaangalia kwanza.
>Moja,eneo unalotokea au kufanyia kilimo,litakuonesha zao gani litastawi vizuri na je ardhi ina rutuba nzuri kwa zao gani
>Pili,mtaji wako, maana mazao hayo yanahitaji mtaji tofauti
>Tatu,masoko,lazima kutambua soko la kila zao na umelenga wateja wakubwa,wa kati au wadogo
Kwa mambo hayo matatu nadhani utapata mhafaka ni zao gani bora linaloweza kustaimili hadi wakati wa mavuno,ukavuna kiasi kikubwa na zao lako likapata soko la kutosha.

Nawasilisha!
acc.
 
[QUOT
Kivutio kikubwa duniani ni miji iliyopangwa na kujengwa kwa ufasaha (na siyo wanyama na milima). Kuna jitihada mbalimbali zimefanyika na mipango jiji la DAR ES SALAAM/ZANZIBAR ili kuhakikisha inakuwa kama Dubai lakini tukaambulia kuwa na majengo ya ovyo na kujenga nyumba ndogo ili ipo siku tutabomoa na kujenga Gorofa ambapo kwa uhalisia/kiasi kikubwa tunapoteza sumenti nyingi/mchanga mwingi/Gypsum/mapati (steel), kutokuwa na mifumo ya majitaka/maji safi, kusababisha foleni/uchawi n.k.

Aidha, hali hii inajidhihilisha kwenye majiji yote ya Tanzania (ikiwemo mbeya, Iringa, Arusha) kwa kuwa na vyoo kibao kila nyumba, barabara zisizo tengenezeka wakati tunaweza kutumia zege na kuwa na balabala njema kabisa. Kwa hali inavyokwenda tutafika miaka 100 tukiwa na dreams za kwenda kuangalia miji mizuri na iliyopagwa tutakaposafiri kuelekea ulaya/dubai/china. Bila kujiuliza ilijengwaje?

Kama ukijiuliza hili swali ndipo utakapo jua kuna haja ya watanzania kutenga miezi miwili (happy month) kwa kila mwaka kwa ajili ya watu kufanya mazoezi ya kujenga miji ambayo itahakikisha ramani ya mipango inatekelezwa kikamilifu. Ambapo, Serikali inatenga fungu/fedha za kujenga miji (labda kama mafundi wanataka kuchezea tope milele maana nyumba hazina lifespan) na kila mtu anajua kuwa Serikali haifirisiki kwani ipo vizuri kuzungusha fedha kwa njia ya kodi na tozo na viwanja ni vya Serikali.

Maisha ni mipango miji.
E="Sadiki Abdallah, post: 29647944, member: 375324"]Mwenye taarifa ya soko la uwakika anishauri nataka niende shamba.[/QUOTE]
 
Kuna sehem nimepita Jana maeneo ya Nyakahura, Kuna kiwanda Cha Kukamua mafuta ya Alizeti Ila hakina raw material ( Alizeti) ! So Kama Kuna mtu anaweza kuwa na hata na tani 6 za Alizeti akazipeleka kwenye kiwanda hicho atapiga pesa mnoo! Either kuuza Alizeti yenyew au mafuta Maana mafuta ya Alizeti yamekuwa adimu Sana hapo nyakahura (Muzani)
 
Kuna sehem nimepita Jana maeneo ya Nyakahura, Kuna kiwanda Cha Kukamua mafuta ya Alizeti Ila hakina raw material ( Alizeti) ! So Kama Kuna mtu anaweza kuwa na hata na tani 6 za Alizeti akazipeleka kwenye kiwanda hicho atapiga pesa mnoo! Either kuuza Alizeti yenyew au mafuta Maana mafuta ya Alizeti yamekuwa adimu Sana hapo nyakahura (Muzani)
Nyakahura iko wapi
 
Back
Top Bottom