Nilime nini kati ya mahindi,alizeti au soya?

Kwanini usilime wewe ? Au hutaki kupiga hela mkuu?
 
Naweza kuwa na ushauri mbaya na sitaeleweka na wengi lakini ukifanikiwa kulima bangi msimu mmoja tu umetoka
Mkuu gunia la bangi linauzwaje....na soko lake likoje ndug...tujuzane kama una taarifa sahihi
 
Nyakahura ipo wapi mkuu
 
[/QUOTE]
Hili ni zao gani la kilimo. au uji uliokumywa siku ya xmass umekuchanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…