Naweza kuwa na ushauri mbaya na sitaeleweka na wengi lakini ukifanikiwa kulima bangi msimu mmoja tu umetokaMwenye taarifa ya soko la uwakika anishauri nataka niende shamba.
Naweza kuwa na ushauri mbaya na sitaeleweka na wengi lakini ukifanikiwa kulima bangi msimu mmoja tu umetoka
If you don't dare...! You don't risk in this life... You will die poor my friendBangi !?.
Wewe unitaki nionekane uraini.
If you don't dare...! You don't risk in this life... You will die poor my friend
Kwanini usilime wewe ? Au hutaki kupiga hela mkuu?Kuna sehem nimepita Jana maeneo ya Nyakahura, Kuna kiwanda Cha Kukamua mafuta ya Alizeti Ila hakina raw material ( Alizeti) ! So Kama Kuna mtu anaweza kuwa na hata na tani 6 za Alizeti akazipeleka kwenye kiwanda hicho atapiga pesa mnoo! Either kuuza Alizeti yenyew au mafuta Maana mafuta ya Alizeti yamekuwa adimu Sana hapo nyakahura (Muzani)
Nadhan hujanielewa mkuu!Kwanini usilime wewe ? Au hutaki kupiga hela mkuu?
Mkuu gunia la bangi linauzwaje....na soko lake likoje ndug...tujuzane kama una taarifa sahihiNaweza kuwa na ushauri mbaya na sitaeleweka na wengi lakini ukifanikiwa kulima bangi msimu mmoja tu umetoka
Nyakahura ipo wapi mkuuKuna sehem nimepita Jana maeneo ya Nyakahura, Kuna kiwanda Cha Kukamua mafuta ya Alizeti Ila hakina raw material ( Alizeti) ! So Kama Kuna mtu anaweza kuwa na hata na tani 6 za Alizeti akazipeleka kwenye kiwanda hicho atapiga pesa mnoo! Either kuuza Alizeti yenyew au mafuta Maana mafuta ya Alizeti yamekuwa adimu Sana hapo nyakahura (Muzani)
Bei ya jumla si chini ya laki 5 mpaka millionMkuu gunia la bangi linauzwaje....na soko lake likoje ndug...tujuzane kama una taarifa sahihi
Ngoja nijilipue mwaka huu...nijarbu kuzichomeka katikati ya shamba...mkinikuta segerea msishangae...Bei ya jumla si chini ya laki 5 mpaka million
Maisha ni mapambanoNgoja nijilipue mwaka huu...nijarbu kuzichomeka katikati ya shamba...mkinikuta segerea msishangae...
[/QUOTE][QUOT
Kivutio kikubwa duniani ni miji iliyopangwa na kujengwa kwa ufasaha (na siyo wanyama na milima). Kuna jitihada mbalimbali zimefanyika na mipango jiji la DAR ES SALAAM/ZANZIBAR ili kuhakikisha inakuwa kama Dubai lakini tukaambulia kuwa na majengo ya ovyo na kujenga nyumba ndogo ili ipo siku tutabomoa na kujenga Gorofa ambapo kwa uhalisia/kiasi kikubwa tunapoteza sumenti nyingi/mchanga mwingi/Gypsum/mapati (steel), kutokuwa na mifumo ya majitaka/maji safi, kusababisha foleni/uchawi n.k.
Aidha, hali hii inajidhihilisha kwenye majiji yote ya Tanzania (ikiwemo mbeya, Iringa, Arusha) kwa kuwa na vyoo kibao kila nyumba, barabara zisizo tengenezeka wakati tunaweza kutumia zege na kuwa na balabala njema kabisa. Kwa hali inavyokwenda tutafika miaka 100 tukiwa na dreams za kwenda kuangalia miji mizuri na iliyopagwa tutakaposafiri kuelekea ulaya/dubai/china. Bila kujiuliza ilijengwaje?
Kama ukijiuliza hili swali ndipo utakapo jua kuna haja ya watanzania kutenga miezi miwili (happy month) kwa kila mwaka kwa ajili ya watu kufanya mazoezi ya kujenga miji ambayo itahakikisha ramani ya mipango inatekelezwa kikamilifu. Ambapo, Serikali inatenga fungu/fedha za kujenga miji (labda kama mafundi wanataka kuchezea tope milele maana nyumba hazina lifespan) na kila mtu anajua kuwa Serikali haifirisiki kwani ipo vizuri kuzungusha fedha kwa njia ya kodi na tozo na viwanja ni vya Serikali.
Maisha ni mipango miji.
E="Sadiki Abdallah, post: 29647944, member: 375324"]Mwenye taarifa ya soko la uwakika anishauri nataka niende shamba.