Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 170
- 315
Inabidi tujifunze mkuu,ili yakija kutukuta huko mbeleni tujuwe namna ya kujihami[emoji2] [emoji2] umeandika kwa hofu sana
Wakati mtandao wa tritel unaoparate tanzania wewe ulikuwa wapi mkuu?
tukio lilitokea sehemu gani mbeyaMember wa jf walioko uyole mbeya watakuwa wanakumbuka hili tukio na hizo picha watakuwa waliziona
Kweli hiyo miaka simu za kamera zipo.Simu yangubya kwanza kutumia Nokia 5200 ilikua na Camera pia..hiyo ilikua 2009
Sent using Jamii Forums mobile app
pele chatu alitokea wapi nyuma ya kambi ukivukaleri makazi ya watu mbele yake shamba la kilimoSoma mwanzo karibu na kikosi cha jeshi pale uyole
Siku nyingine ukikumbana na chatu lala chini halafu angalia uwezekano wa kupata kijiti kikavu (hapa ujasiri unatakiwa) anza kukivunja kidogo kidogo (hata mara 10) ukiwa pale pale chini....Chatu atajiondokea zake, ukishagundua kaondoka amka timua mbio..
Nakataa kwa sauti kubwaSiku nyingine ukikumbana na chatu lala chini halafu angalia uwezekano wa kupata kijiti kikavu (hapa ujasiri unatakiwa) anza kukivunja kidogo kidogo (hata mara 10) ukiwa pale pale chini....Chatu atajiondokea zake, ukishagundua kaondoka amka timua mbio..
Ndio ulikuwa mtandao wa kwanza wa simu za mkononi tz boss, inamaana hata celtel hujawahi isikia?Naikumbuka Zain ikaja Airtel,Tigo imekaa muda hasa baada ya buzz,Zantel iko pale pale na vodacom...hiyo tritel siifahamu boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliwahi kujaribu ikashindikana mkuu?Nakataa kwa sauti kubwa
Sio stori mkuu, tatizo ushajiita mbishi huwezi kukubaliana nami😅.Story za kusadikika hizo Jidanganye Utafunwe
Tembelea sengerema hususani kahunda ndio utaamini hizo ni story za vijiweni watu wananusurika kuliwa na chatu wanaokolewa na wapita njia na hyo mbinu wanaiapply lakini hamna kituUliwahi kujaribu ikashindikana mkuu?
Kwa nini ukilala chali anashindwa kujiviringisha mwilini mwako?
Hao chatu wa Sengerema ni wabishi tu.Tembelea sengerema hususani kahunda ndio utaamini hizo ni story za vijiweni watu wananusurika kuliwa na chatu wanaokolewa na wapita njia na hyo mbinu wanaiapply lakini hamna kitu
Yaani watu waache kukuokoa ,wakalie kukupiga picha?