Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Mkuu unasoma chuo gani?Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22
Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22
Inua mkono wa kulia juu kisha kunja ngumi kisha jipigie kifuani Mara tatu .Akili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana
Haaππ π Mtoa mada akuje huku
Mwenye Kupenda Haoni,Chongo Ataita KengezaSasa kama unajua kuna bahati mbaya unaomba ushauri wa kazi gani.
Kijana Acha mambo ya ajabu piga buku
Ameshakwama Huyomkuu umesahau kusema upo TEKU campus ya wapi ili kama kuna wajuba ambao wapo karibu humu waje wakusaidie kisaikolojia
Hii Ni Point Kubwa SanaWenzako Hata mimba ikiwa yao kwa chuo wana kimbia sembuse sio yakooo
ππππ€£πππ ππ ππ€£πππKalee hiyo mimba,we si lofa,mjinga kabisa wewe.
Mapenzi kiti cha basi aloimba hajakosea. Nahisi mengi bado huja hadithiwa.Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Sio msaliti. Hakupendi, hakutaki wewe ndio king'ang'anizi imebidi akuoneshe kwa vitendo. Wewe ni baby kwa wanawake. Huwajui hata kidogo. HAPO HUTAKIWIIIIIIIAkili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana
Nilivyoona kichwa cha habari nilishtuka nikajua ni mke wake kapigwa mimba nje ya ndoa kufungua uzi nagundua kumbe ni watoto wa chuo wanadanganyana,sasa mtu hata mahari kwao hajapeleka anajipa mawazo yasiyokuwa na msingiNaona wengi inatuwia vigumu sana to control the power of your love to someone, mpaka mtu ana beba mimba bado unajishauri kumuacha ?!
Unadhani ungekuwa wewe ungebakishwa?
Umuonee huruma kivipi sasa kwani mwanaume ni wewe tu?na kama mwanaume ni wewe tu peke yako mbona alipata mtu wa kumtia na mimba juuAkili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana