Thanks bro nimegundua wakusaidiw n yatima sio hurum z kitotoUmuonee huruma kivipi sasa kwani mwanaume ni wewe tu?na kama mwanaume ni wewe tu peke yako mbona alipata mtu wa kumtia na mimba juu
Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Haa[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], Kama ni mimi ajinyongeMimba si yako halafu hujui ufanyeje!? [emoji15][emoji15][emoji15] una akili sawa sawa wewe!? Endelea na maandalizi ya ndoa.
Inshort mwanaume kakimbiaMwanamke hawez kuSex kwa Banat mbaya. Labda kam amebakwa. Ko kukubal kumvulia nguo msela ni amempenda mshikaji,, ninachoona Mimi msela aatakua amemtolea nje thus y anarudi kwako. Mimi sizani kam kweli atakua anakupenda,, huenda amekuona weak sana. Ni bora ukamuacha tu ukaruhusu moyo kupenda kwingine yasije yakakutokea ya Lissa. Na pia upendo wake kwa msela hautaisha so atakuwaga anaenda kuliwa kam kawa
HahahahaMimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Epuka matapeli pisi bado zipo nyingiMimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
We fal* kweli kumbe unajua hadi mwenye mimba kashaikimbia so ww ndo unataka kujifanya unaweza kulea, Demu kakuona we zezeta sana mpaka anakuletea mimba na kukuomba msamaha..Inshort mwanaume kakimbia
Amazon collegeBora hujataja chuo, maana ungedhalilisha wakufunzi wako.