Nilimpenda lakini karudi na ujauzito usio wangu

Masamehe mlee mtoto wenu. Kitanda hakizai haramu.
 
Mimba si yako halafu hujui ufanyeje!? 😳😳😳 una akili sawa sawa wewe!? Endelea na maandalizi ya ndoa.


 
Mkuu lea mimba tu kama alivyo shauri bingwa mmoja hapo juu… ikiwezekana kamdondokee umlilie jinsi alivyokusaliti na pia mweleweshe yaliyopita si ndwele mgange yajayo….ma… e[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanamke hawez kuSex kwa Banat mbaya. Labda kam amebakwa. Ko kukubal kumvulia nguo msela ni amempenda mshikaji,, ninachoona Mimi msela aatakua amemtolea nje thus y anarudi kwako. Mimi sizani kam kweli atakua anakupenda,, huenda amekuona weak sana. Ni bora ukamuacha tu ukaruhusu moyo kupenda kwingine yasije yakakutokea ya Lissa. Na pia upendo wake kwa msela hautaisha so atakuwaga anaenda kuliwa kam kawa
 
Inshort mwanaume kakimbia
 
Hahahaha

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Lea hiyo mimba, kitanda hakizai kharamu
 
Nishaona udhaifu wa young boy

Huruma na kama mnavyojua ndugu zangu wanawake cheche wanapenda kupata zezeta lenye huruma lisilo na msimamo waliendeshe endeshe

Haya dogo endelea kutoa miudenda km zezeta wakati demu wako anaendelea kugongwa hovyo
 
Duh! Ila kuna watu mazoba kwel! Imagen YANGA ilipeleka mashitaka CAS kwa kosa la Morrison kusajiriwa SIMBA akiwa bado anamkataba YANGA! Sasa hii essue ya ubao kusoma 1-0 wakati Refa hajapuliza kipenga kuashiria mechi kuanza! Mpinzani wako ameshakutangulia bao moja, halaf bado mtu anaomba ushauri!
 
Epuka matapeli pisi bado zipo nyingi
 
Mmh naomba wazungu waje na science ya kubadili ubongo. Watu wana waza slow sana
 
Inshort mwanaume kakimbia
We fal* kweli kumbe unajua hadi mwenye mimba kashaikimbia so ww ndo unataka kujifanya unaweza kulea, Demu kakuona we zezeta sana mpaka anakuletea mimba na kukuomba msamaha..

Acha us*nge, Piga dauka huyo mdangaji kazana na kusoma maliza elimu yako kwanza, mtaani kuna watoto wazuri tu wa kuoa kama unataka na wametulia na wana mapenzi ya dhati.. Achana na masister duu wa chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…