Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hongera sana sana ila mwambie awe anatumia CondomsMimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Akili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana
Bahati mbaya alibakwa au?!Kakiri kwamba kakosea na ni dhamb pia hawezi toa
Unataka tukushauri ?Mimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Fala wewe hiyo huruma yako ndo inakuja kukuua,Akili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana
Kaka mkubwa ,washawashaa [emoji1787][emoji1787] mzee wa log offMgonge kisela tu
Nalog off
Acha use.nge dogoKakiri kwamba kakosea na ni dhamb pia hawezi toa
Sasa mpaka hapo si ana mtu mwingine?Kakiri kwamba kakosea na ni dhamb pia hawezi toa
Huyo tayari si mwaminifu hakufaiMimi ni mwanachuo katika chuo fulani hapa Tanzania. Kuna mwanachuo mwezangu girlfriend nilimpenda nikawa namsaidia fedha ndogondogo.
Wiki mbili zilizopita karudi kutoka field ana mimba sio yangu ila tuliahidiana kuoana lakini sasa yeye kaharibu, nifanyeje wakuu bado nampenda ingawa nimechukia. Nini madhara yake endapo nitaendelea nae age 24 Dem 22.
Haikuhusu. Angekuwepo je, pia angekurudia? Ahangaike na hali yake.Inshort mwanaume kakimbia
Hujitambui...unaaibisha usomi wakoAkili inanituma nimwache kwavile ni msaliti ila ubinadamu unanifanya nimwonee huruma kwavile nilimpenda sana