Nilimshikisha adabu hadi leo kanikoma!

Kila mtu alipata stahiki yake siyo,pamoja sana mkuu
 
La,
mwanamke hapigwi ngumi wa makofi, mwanamke anapigwa na tenge la wax kanga ina maneno,

hukujisikia aibu mwanaume mzima unamaliza ugali wako kumpiga vibao mtoto wa kike? Tena mwanafunzi?

Ama kweli haki elimu wana kazi kubwa.....


Kila mtu alipata stahiki yake siyo,pamoja sana mkuu
 
Duuuh! Kweli we badili tabia,nimekuelewa mkuu
La,
mwanamke hapigwi ngumi wa makofi, mwanamke anapigwa na tenge la wax kanga ina maneno,

hukujisikia aibu mwanaume mzima unamaliza ugali wako kumpiga vibao mtoto wa kike? Tena mwanafunzi?

Ama kweli haki elimu wana kazi kubwa.....
 
Yaani hilo vogue uliazima mahsusi kwa ajili ya kumkoga au?
 
nimependa stori yako ila jipange upya ili uweze angalau kumfikia shigongo!
 
Taratibu mkubwa,si unajua true stori ni ngumu tofauti na fiction?ila ntajipanga
nimependa stori yako ila jipange upya ili uweze angalau kumfikia shigongo!
 
Nikuulize swali GL.Je, O level mlifundishwakitu kimoja muhimu kiitwacho punctuation? Thread yako imenichosha kusoma. Halafu licha ya hiyo, mwelekeo wake uko chini ya viwango vya JF!

Wow..I thought so :whistle:
 
kiubinadam tu si jambo jema kumtukana mtu kisa kakutongoza au kakuonyesha dalili hzo kwa sabab kufanya hvyo siyo kosa, unaweza kumwambia mtu kiustaarab. Lakn pia mkaka kujichukulia sheria mkononi ni hatar kuna watu spana mkonon unagusa anaanguka, ndio inakula kwako tena lakini pia sio ustaarab na wala haimpendezei mwanaume wa kisasa,
 
Shigongo got a co-worker right here, anyway thanks for a story.
 

...Mhhhh! another JF's great thinker at his best!!!😛eep:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…