Nilimsomesha chuo akaniacha na kwenda kuolewa mke wa pili

Ukiwa jiongo (au hermaphrodite) basi uwe na kumbukumbu). Hili jamaa hopulesi kabisa 😂
 
mjinga kwenye moja na mbili
haturudii kuwakumbusha wajinga wengine wasisomeshe wanawake.

nakutakia kujinyonga kwema
 
Ni swala la muda tu karma is bitche.
 
You own nothing and nothing should owns you man detach from everything.
 
Ulikosea mngepiga hesqbu akuludishie fidia kama ni kweli namana kupoteza PESA +MUDA ni hatari kwa kijana bora urudishiwe kias flani zen upate pa kuendelezea kumsomesha mwingine au unasemaje dai kidogo uingie singida upate pis ya kinyaturu au YA KINYAMWEZI TABORA KWA LAKI 9 TU kuwa mjanja
 
Sio mbaya mkuu. Ukimuelimisha mwanamke mmoja umeelimisha jamii
 
Uko wapi nikununulie soda?
Au nitume namba ile ile? 😜😉
 
Alikulazimisha? Kwaiyo unataka humu ndo wakutafutie mtu wa kuoa au?
 
Ulichokosea ni wewe una diploma yeye ana digrii, mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa chochote iwe elimu, umri, pesa na aliki, nguvu etc.
 
Ndugu yangu kuna jamaa mmoja mama yake alikuwa na cheo kikubwa bunge la Afrika. Huyu jamaa mke wake wa ndoa alimuacha akaenda kukaa Kimada wa Karamagi. Narudia sio mke wa pili Kimada ndugu yangu. Kwa hio ndio wanawake walivyo mwanangu usijitese wewe tafuta atakaekunyenyekea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…