Nilimtembelea rafiki yangu mpendwa. Mkewe akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama tele.
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejazwa wali na kachumbari tu.
Baada ya kula nikamuuliza rafiki yangu, *"kulikoni watoto wale wali na kachumbari tu ilhali sisi tumekula minyama kibao?"*
Akanijibu kwa kujianini, *"sasa unategemea nifanye nini wanaposema hawali PANYA?"*
*Bado natapika*
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji80][emoji80][emoji80][emoji80][emoji80]