Nilimuamkia mngoni nikakoma .


Duh! Mkuu umenikumbusha mbali sana! Hivyo vitu tulikuwa tunavipata enzi hizo tukiwa JKT Mlale. Kuna kijiji kimoja kinaitwa Lusonga nilipata 'mdala wa kugega'.
 

Nami, hii imenikumbusha hotuba ya mgeni rasmi kutoka mkoa wa Mara. Alianza kwa kusema ''nashukuru kupata nafasi hii kwani mwaka jana muriniarika nikaharisha, lakini leo nimefurahi sana nimekunya mbere yenu na wote mneniona''
 
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akanijibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.

Mimi huko huko nilisikia mama mmoja akiulizwa na mzee 'uni uhakika na unichokinena? Nasemi hivii uniuhakika na unichokisimi? Hii ilikuwa ni baada ya kumpa mzee wa kingoni taarifa ambazo alikuwa haziamini.
 
hahaha aaaa wadau mmenichekesha sana Xmass yangu imekuwa nzuri, UNGONINI bana Raha sana!!! Nawa JAMBUSA( salimia) WOTE Heri ya kirisimasii(hatuwezi sena krismas) penyeapa mtima kuvina ati sijaenda kunyumba (Penyewe apa moyo unauma sijaenda nyumbani) CHRISTMASS OYEEEE BONA NE OOOOOOH CHRISTMAS OYEEEEE, TUKACHEZE KAMANYOLA NA MAQUIS OOOH, NAKWENDA WAAAPI!!!! aaaah KING KIKI MJOMBA ULIIMBA JAMANI Mwenye clip ya huu wimbo aniwekee nautafuta youtube siupatii plseeeeeeeeee walongo wangu.
 
Paka Mweusi umenikumbusha Nyumbi hii bombi hii, palepale pamfaranyaki, ukisikia jogoo anawika kokorikoo, ujue ndio hapohapo.

Happy New Year 2011!
 
Mimi huko huko nilisikia mama mmoja akiulizwa na mzee 'uni uhakika na unichokinena? Nasemi hivii uniuhakika na unichokisimi? Hii ilikuwa ni baada ya kumpa mzee wa kingoni taarifa ambazo alikuwa haziamini.

mmhhh hii sasa ni funga kazi langu jicho nafunga mdomo wangu
 
Katika pitapita zangu mitaa ya Mpitimbi nilikutana na jamaa yangu Ngonyani nami kwa heshima yangu ya kinyamwezi nikamsalimia shikamoo mjomba,akanijibu "Malihabi mjombi ,hujambi?"Akimaanisha marahaba mjomba hujambo.

nawe ungemjibu sijambi mana ukikaa kimya si ataona huna adabu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…