Mtotofaita
Member
- Jun 8, 2020
- 13
- 11
Nakumbuka ilikuwa siku ya Boxing Day miaka ya nyuma kidogo enzi hizo nikiwa sekondari kidato cha nne nilikuwa na mpenzi jirani yaani hatua chache kutoka nyumbani kwetu. Kutokana na kutamani kumgegeda kwa kipindi kirefu na nilikuwa nikikosa nafasi kama unavyo fahamu tena kishule shule pesa tu ya kuingilia nyumba ya wageni ilikuwa ni mtihani.
Basi buana siku hiyo ikapatikana nafasi finyu sana ya wazazi wa aliyekuwa mpenzi wangu kutoka usiku, ikabidi manzi yule anijuze basi nikaahidi kwenda usiku na kama ilivyo ada mnamo saa tano usiku nikaruka geti la home nikaenda kwakina dem nkakuta kaacha milango yote wazi nkafanya kuingia akaniongoza hadi kwenye chumba chake.
Sikutaka siasa muda wa kazi nikasaula moko moko na yeye nikamsaula harakati za mageuzi zikaanza shika hapa nishike pale, nyonya huku ni chezee kule kidogo game likaanza, katikati ya game mara tukasikia hodi kwa sauti kubwa maana tulifungulia mziki eeeh bwana we nilihisi nimeloa jasho mwili mzima nikifikiria mlango wa kutokea ndo huo huo mmoja na wazazi wakirudi milango inapigwa lock nlitamani kulaumu kwanini wameghaili Safari au ndo arobaini za mwizi zimetimia, ilikuwa ni patashika nguo kuchanika nlihofia kama ningeshikwa ilikuwa ni aibu kwani mtaani nlikuwa nikionekana kama mtoto mstaarabu yani mfano wa kuigwa kumbe nlikuwa muharamia namba moja mfanya maasi usiku ila nashukuru hawakuniona japo nilitoka kwa miujiza tu hadi kufika nje nilipiga goti kushukuru nikaahidi sitorudia tenaa.
Kama yamewahi kukukuta pia katika harakati za uja tupe kisa chako mimi nmefika tamati
Basi buana siku hiyo ikapatikana nafasi finyu sana ya wazazi wa aliyekuwa mpenzi wangu kutoka usiku, ikabidi manzi yule anijuze basi nikaahidi kwenda usiku na kama ilivyo ada mnamo saa tano usiku nikaruka geti la home nikaenda kwakina dem nkakuta kaacha milango yote wazi nkafanya kuingia akaniongoza hadi kwenye chumba chake.
Sikutaka siasa muda wa kazi nikasaula moko moko na yeye nikamsaula harakati za mageuzi zikaanza shika hapa nishike pale, nyonya huku ni chezee kule kidogo game likaanza, katikati ya game mara tukasikia hodi kwa sauti kubwa maana tulifungulia mziki eeeh bwana we nilihisi nimeloa jasho mwili mzima nikifikiria mlango wa kutokea ndo huo huo mmoja na wazazi wakirudi milango inapigwa lock nlitamani kulaumu kwanini wameghaili Safari au ndo arobaini za mwizi zimetimia, ilikuwa ni patashika nguo kuchanika nlihofia kama ningeshikwa ilikuwa ni aibu kwani mtaani nlikuwa nikionekana kama mtoto mstaarabu yani mfano wa kuigwa kumbe nlikuwa muharamia namba moja mfanya maasi usiku ila nashukuru hawakuniona japo nilitoka kwa miujiza tu hadi kufika nje nilipiga goti kushukuru nikaahidi sitorudia tenaa.
Kama yamewahi kukukuta pia katika harakati za uja tupe kisa chako mimi nmefika tamati