Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ilikuwa ni siku ya jumapili ya tarehe saba mwezi wa pili, mida ya saa nne usiku tulikuwa tukitokea pande za tegeta kuelekea maeneo ya mwenge.
Tukiwa tumefika maeneo jirani na mbezi jogoo kuna gari ilikuwa inaovateki na ilikuwa ikija spidi kali sana, kama 140 kwa saa. Tulisimama kwa kuwa hatukuwa na cha kufanya zaidi ya kumuomba mungu.
Gari dogo feroza yenye rangi ya blue ilitugonga kisha yenyewe kupinduka.
Kwenye gari yetu tulikuwa watu watatu, mimi na jamaa zangu wawili. Wote tulitoka tukiwa wazima wa afya njema.
Ila abiria waliokuwa kwenye gari iliyotugonga waliumia vibaya sana, hakukuwa na tukio lolote la kifo.
Mungu wetu ni mkubwa sana, mwenye upendo na rehema tele.
HIII ATACHMENT NAYO INAJITOKEZA NIKITAKA KUTUMA PICHA ZA AJALI..
SIJUI TATIZO NI NINI??
Tukiwa tumefika maeneo jirani na mbezi jogoo kuna gari ilikuwa inaovateki na ilikuwa ikija spidi kali sana, kama 140 kwa saa. Tulisimama kwa kuwa hatukuwa na cha kufanya zaidi ya kumuomba mungu.
Gari dogo feroza yenye rangi ya blue ilitugonga kisha yenyewe kupinduka.
Kwenye gari yetu tulikuwa watu watatu, mimi na jamaa zangu wawili. Wote tulitoka tukiwa wazima wa afya njema.
Ila abiria waliokuwa kwenye gari iliyotugonga waliumia vibaya sana, hakukuwa na tukio lolote la kifo.
Mungu wetu ni mkubwa sana, mwenye upendo na rehema tele.
HIII ATACHMENT NAYO INAJITOKEZA NIKITAKA KUTUMA PICHA ZA AJALI..
SIJUI TATIZO NI NINI??