Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Habari JF,
Ni asubuhi na mapema niko ktk shule moja iliopo manispaa ya temeke, kigamboni Mjimwema, shule ya msingi Mjimwema, shule ilio anzishwa miaka takribani 40 iliopita na bahadhi ya viongozi wakubwa wamesoma hapo.
Naona wanafunzi wamekaa chini kwenye sakafu huku mwl akifundisha kwa bidii kweli!
Nikadhan labda ni mazoezi au ni masomo kw vitendo!
Macho yangu yaka zidi kuwa na hamu kubwa ya kutazama madarasa mengine nayo hivyo hivyo isipokuwa madarasa kama matatu tuu ndio kulikuwa na mchanganyiko wa waliokaa kweny madawat na chini!
Nilishangaa saana kuona hali hii kwenye shule iliopo mjini tena DSM pembezon mwa bahar ya Hindi!!
Ni ajabu lakin ni kweli, sasa je zile shule za kule sitimbi/vijijini ndio inakuaje sasa...?
Kw hali hii kwenye div 4 na 0 zitapungua, kwa nn watu wanaangalia shule za sekondari wana sahau msingi wa elimu uko wap?
Eti tume inachunguza matokeo mabaya..yaani una chunguza mwanafunzi aliengia kidato cha kwanza hajui kuandika jina lake!! Unatarajia atafaulu form4...
Tutarajie sinema na epsod za kutosha kwenye matokeo yajayo!!
Sikuweza kuweka picha wadau coz natumia ka nokia ka tochi!
Ni asubuhi na mapema niko ktk shule moja iliopo manispaa ya temeke, kigamboni Mjimwema, shule ya msingi Mjimwema, shule ilio anzishwa miaka takribani 40 iliopita na bahadhi ya viongozi wakubwa wamesoma hapo.
Naona wanafunzi wamekaa chini kwenye sakafu huku mwl akifundisha kwa bidii kweli!
Nikadhan labda ni mazoezi au ni masomo kw vitendo!
Macho yangu yaka zidi kuwa na hamu kubwa ya kutazama madarasa mengine nayo hivyo hivyo isipokuwa madarasa kama matatu tuu ndio kulikuwa na mchanganyiko wa waliokaa kweny madawat na chini!
Nilishangaa saana kuona hali hii kwenye shule iliopo mjini tena DSM pembezon mwa bahar ya Hindi!!
Ni ajabu lakin ni kweli, sasa je zile shule za kule sitimbi/vijijini ndio inakuaje sasa...?
Kw hali hii kwenye div 4 na 0 zitapungua, kwa nn watu wanaangalia shule za sekondari wana sahau msingi wa elimu uko wap?
Eti tume inachunguza matokeo mabaya..yaani una chunguza mwanafunzi aliengia kidato cha kwanza hajui kuandika jina lake!! Unatarajia atafaulu form4...
Tutarajie sinema na epsod za kutosha kwenye matokeo yajayo!!
Sikuweza kuweka picha wadau coz natumia ka nokia ka tochi!