Niliomba nafasi ya masomo chuo kikuu huria mwaka uliopita kwa nafasi ya masters na Mungu alivyo mwema nimepata nafasi.
Tatizo nimekosa orientation nimekosa pia uwezo wa kujiunga kwa Sasa kutokana na matatizo yaliyonikuta mwaka uliopita.
Naomba mwenye ujuzi naweza kupostpone japo sijajua hatua gani nifate na sijafanya chochote kwenye admission natamani kuchukua hatua iyo kulinda gharama na nafasi niliyoomba. Emergency
Tatizo nimekosa orientation nimekosa pia uwezo wa kujiunga kwa Sasa kutokana na matatizo yaliyonikuta mwaka uliopita.
Naomba mwenye ujuzi naweza kupostpone japo sijajua hatua gani nifate na sijafanya chochote kwenye admission natamani kuchukua hatua iyo kulinda gharama na nafasi niliyoomba. Emergency