GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.
Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.
Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.
Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.
Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.
Na tukifungwa tu mtatutambua leo.